Siku zote wabongo wana wivu'automatic"nilisema hapa jf baada ya ktma 2015, mbongo akifanikiwa watu roho sinawachoma sijui nini sababu,sishangai niliona kwa marehemu Kanumba haya leo kaondoka na bongo movie kwishnei....wale walokua washabiki wa Ray nao hawaonekani..Big up Diamond wakati ni wako wakilisha.