white-frank mhiro
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 760
- 165
Milioni 60, Tale, Fela, SK, Iyobo, Rommy, madensa nane ukigawanya inakuwa kama sawa na mzigo anaokula mzee Yusuph jumapili pale travertine.
Usiumize kichwa sana haya sio mambo ya msingi kuyaelewa.
acha utoto, watu wanajadili mambo ya msingi na unaleta utoto hata pale unapoeleweshwa! kua bwana mdogo
Mambo ya msingi????? Pesa za Dimond, show za AY na sijui nani ni mambo ya msingi? Hapo sasa nimewaelewa vizuri hapa itakuwa nilikosea njia. Nisameheni wakuu ngoja nikatafute mambo ya kipuuzi huko kwenye majukwaa yanayojadili afya , foreign policy, education, international news na ujinga mwingine. Nyie endeleeni kujadili mambo ya msingi hapa hasa Lambo ya Dimond pamoja nguvu ya team wema.
Milioni 60, Tale, Fela, SK, Iyobo, Rommy, madensa nane ukigawanya inakuwa kama sawa na mzigo anaokula mzee Yusuph jumapili pale travertine.
ulitaka tujadili ya mmeo alikibaka
Mambo ya msingi????? Pesa za Dimond, show za AY na sijui nani ni mambo ya msingi? Hapo sasa nimewaelewa vizuri hapa itakuwa nilikosea njia. Nisameheni wakuu ngoja nikatafute mambo ya kipuuzi huko kwenye majukwaa yanayojadili afya , foreign policy, education, international news na ujinga mwingine. Nyie endeleeni kujadili mambo ya msingi hapa hasa Lambo ya Dimond pamoja nguvu ya team wema.
Hahahahaaa mkuu kuna watu hawalijui hilo...basi tu ushabiki umewajaa hata kujua hawataki.
Dah, Mungu saidia vijana. Taifa laangamia.
Wewe kama hujidungi basi unakula sana bangi.
Em soma unayoandika.
Hapana mkuu msimjadili mume wangu endeleeni na mjadala wa msingi kabisa kuhusu maisha ya Chibu.
Itakuwa kwa sababu sijui mambo ya msingi kama nyumba za madensa wa Daimond na collabo zake zote.
Umejibu nini hapo??
na wewe unasupport..... Hivi nyie watu hamjui umuhimu wa team work... angalia walioendelea wote kama wanafanya kazi kibinafsi.... msiwe kama wahindi wa kkoo chips miaka yote na hela anapokea mwenyewe masaa 24 yupo pale kuogopa kuibiwa.... we gotta be smart hata kanumba aliexcel in movies coz he was doing things in a very smart. way I doubt if he was alone... no offense
Katika hiyo mil 60, ondoa milion 40 za kuwalipa waganga wake wa Ghana na yule wa Burkina Faso.
Milioni 60, Tale, Fela, SK, Iyobo, Rommy, madensa nane ukigawanya inakuwa kama sawa na mzigo anaokula mzee Yusuph jumapili pale travertine.
Na kama hufahamu madancer wake wawili wana nyumba tayari....
ukitaka kufanikiwa wafanikishe na wenzako...
Yamoto band leo wanaingia tz kutoka south africa ambapo wameshoot video na godfather kwa gharama ya diamond.. yote hayo hayaji hivihivi ni mkwanja huo na usiniambie ni kitu kidogo sababu wasanii wengi wangekuwa wanaubavu huo
samahani mkuu umemwelewa kweli mdau alichouliza? sio hizi team za hapa jf ni team nzima inayounda jahazi modern taarab kama nimemwelewa mdau