binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hatari sana Diamond anafan Base kubwa sana africa hivi sasa na hizi collable zitazidi kumuweka juu. Anajulikana West, South, East and Central africa kiujumla ni juhudi kubwa sana.
Na msanii yeyote akitaka apate fans East Africa wa kwanza kumuangalia ni Diamond, hahhahahha watataka tu hata kama sio leo. Mie huwa nakaa pembeni nacheeeeeka!
Gawanya na hiyo y mzee yusuph..!!! Jitahidi kutumia akili hata kama ni ndogo..!!!!
Katika hiyo mil 60, ondoa milion 40 za kuwalipa waganga wake wa Ghana na yule wa Burkina Faso.
Milioni 60, Tale, Fela, SK, Iyobo, Rommy, madensa nane ukigawanya inakuwa kama sawa na mzigo anaokula mzee Yusuph jumapili pale travertine.
Mzee hizi taarifa iwapo ungeweza kuzibadili kuwa pesa hata wewe ungejenga nyumba sio mbili hata nane.
Dimondo yupo juu hata tufanyaje....wacha apewe sofa zake