Mzee kwa hali alokuwa nayo hivyo videmu mbona bomba saaanaIla kwa hali ilee lazima kukimbiwa
Aah wapi mkuu kachoka hivoMzee kwa hali alokuwa nayo hivyo videmu mbona bomba saaana
Katika hali hii zari au wema wangempenda??
na anajua kuitumia, ma miss wote wa bongo amewala mpaka namuonea wivupesa nzuri aisee
Ndo hapo sasaKatika hali hii zari au wema wangempenda??
Mkuu sie tulioko uswazi kwa hivo videmu ni pouwa saana, na ni wachache wanaoweza kuvisogelea. Ujue siku hiyo hata mwenyewe Diamond alijisifu saana kupiga navyo picha na ndo maana imetunzwa hadi leo.Aah wapi mkuu kachoka hivo
Katika hali hii zari au wema wangempenda??
Dogo amepiga hatua saana, mpaka analala na watoto classic kama Wema na Zari. Najua katika hali kama hiyo sio Zari au Wema wangethubutu kulala kitandanai na Diamond. Ingekuwa 'Zali la Mentali'Katika hali hii zari au wema wangempenda??
Limefupishw na pesaDuh!!! Mbona kama domo lilikuwa refu sana au wamelifanyia editing kwenye hiyo picha🙂
yani jamaa kafaidi sanana anajua kuitumia, ma miss wote wa bongo amewala mpaka namuonea wivu
Huo ndo ukweli Ana kila sababu ya kujivuniaDogo amepiga hatua saana, mpaka analala na watoto classic kama Wema na Zari. Najua katika hali kama hiyo sio Zari au Wema wangethubutu kulala kitandanai na Diamond. Ingekuwa 'Zali la Mentali'
Ahhh sana, ila asishobokee sana manake maisha ni safari ndefuHuo ndo ukweli Ana kila sababu ya kujivunia
Mkuu kuna sehemu nimeandika me nikiwa diamond?[emoji15]We ni yupi hapo?
Kweli ila usisahau kale kamsemo ka maskini akipata...tusimlaumu sanaAhhh sana, ila asishobokee sana manake maisha ni safari ndefu
Ni kweli kabisaaa.......... ma*ako hulia mbwataKweli ila usisahau kale kamsemo ka maskini akipata...tusimlaumu sana
[emoji1]Ni kweli kabisaaa.......... ma*ako hulia mbwata