Diamond wa kipindi kileee

Anaona hapo alipiga picha na Ray C (kushoto) na Lady JayDee (kulia), ni longtime kitambo sana hiyo mitaa ya Vingunguti kwenye show.
 
Huyo mnaemwita ZARI yupo hapo kumtumia DOMO kama mradi tu!!! Jimama linawatoto lukuki leo uniambie ana mapenzi na huyo bwana!!! Itafika wakati atamkimbia na kurudi kwa watoto wake huko uganda.
 
Duuuh kweli pesa ina nafasi yake katika muonekano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…