exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao "wachumbuzi wapo sports arena ipi? Ama ile uliopo ww na dida?Watangazaji na wachumbuzi walioko kwenye sport arena kwa mtazamo wangu wanatosha.
Kuskika nchi nzima sio kuskilizwa nchi nzima..alaf dar sindo Tanzania yenyew [emoji2]Ni ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable
AiseeWewe peleka CV yako ofisi za Wasafi au cheki na mtangazaji mpya wa wasafi Hance Mtanashati anatangaza kipindi kimoja na Dida wanasuta watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli au ni mitandao tu na udaku View attachment 1358960View attachment 1358962
Ahahahaaaaaa Hance Mtanashati njoo babaWewe peleka CV yako ofisi za Wasafi au cheki na mtangazaji mpya wa wasafi Hance Mtanashati anatangaza kipindi kimoja na Dida wanasuta watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap yule anaitwa Malegesi NyamakaHawa jamaa hata kiswahili ni shida kwao, wanabananga maneno na ile kansa ya taifa ya L na R.
Nimekuwa nawasikiliza mara kadhaa haswa ninapokuwa kwenye chimbo ambazo redio nyingi hazifiki.
Kuna na mwingine anaitwa Maregesi kama sikosei, wanajiitaga 'jopo'..wanafurahisha sana ila wabaki RFA.
Nimemsamehe bure maana hajui alisemalo.
Haha wapi sio kweli , mtangazaji anaangalia masilahi yake ya mfukoni na sio redio kusikika nchi nzimaNi ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable