Diamond; wasafi tv haijaja kushindana na mtu

Diamond; wasafi tv haijaja kushindana na mtu

Sasa anataka kufanya biashara au anataka kuanzisha kanisa?
Ushindani ni lazima na mzuri sana kwenye biashara na ni afya kwa biashara...
Kama Diamond anaogopa ushindani basi asingelifungua hiyo tv na radio
 
sasa biashara bila ushindani si upuuzi huo?alitakiwa kusema nimekuja kuipiga chini clouds, east africa na efm, na kuhakikisha wasafi ni chombo kinachokuwa na kuenea duniani, tena nawaambia washindani wakae macho soko la hapa ndani lazima nilichukue, hata investors wanaweza kuongeza mtaji
 
Sasa anataka kufanya biashara au anataka kuanzisha kanisa?
Ushindani ni lazima na mzuri sana kwenye biashara na ni afya kwa biashara...
Kama Diamond anaogopa ushindani basi asingelifungua hiyo tv na radio

anafanya biashara hajaja kushindana na mtu diamond ana kofia mbili msanii na mwekezaji lazma awe careful kucheza miguu yote miwili ana akili nyingi sana chibu
 
Back
Top Bottom