Diamond: Waziri wa nishati aliniibia demu wangu

Diamond: Waziri wa nishati aliniibia demu wangu

Mond shukuru Mungu huyo Waziri alikusaidia ukajua kuwa ulikua unakula bonda
 
Kumbe hii habari ni kweli, jamani wakati mwingine maneno ya mtaani tusiyapuuze. Hizi habari za Ngeleja kila mtu hapa mjini alikuwa anajuwa na Aunt (mbeba mapochi a.k.a. Msukule) ndiye alikuwa refarii. Pole Domo. Kingine, Mondi ulijitakia mwenyewe, we utatombaje demu ka Wema anayegawa kwa kila mtu bila hata kinga na kujiheshimu?
Duh,mkuu kweli we ni mbogo,na umekuwa mbogo.
 
Hahaha hivi huyu mzee bado anaenda Coco Beach na Escalade lake ? Maana kabla Jk hajampa uwaziri alikuwa hakosekani Coco beach ,anapenda vitoto vidogo balaa
 
Hahaha hivi huyu mzee bado anaenda Coco Beach na Escalade lake ? Maana kabla Jk hajampa uwaziri alikuwa hakosekani Coco beach ,anapenda vitoto vidogo balaa
Demu wa Diamond aliyechukuliwa na waziri wa ni-shirt na ma-religion ni nani?
 
Mi naona njegere sijui choroko,wekeni majina kamili tuelewe..
 
Back
Top Bottom