Diamond yukoje jamani?!

Diamond ndiyo nani?

Mtunzi Mkuu Wa Swaga Iliyojizolea Sifa Kubwa Ya " HAPA KAZI TU! " Iliyotumiwa Kunakotukuka Na Mgombea Urais Wa CCM Sasa Rais Dr. MAGUFULI Na Inayoendelea Kuishi Hadi Sasa. Kama Utayasahau Yote Sema Tu Baba Tiffah Itatosha!
 
Kama lengo ni wimbo unaopigwa kwa muda mrefu, basi sikiliza michiriku, kitu dakika 12
 
Mtunzi Mkuu Wa Swaga Iliyojizolea Sifa Kubwa Ya " HAPA KAZI TU! " Iliyotumiwa Kunakotukuka Na Mgombea Urais Wa CCM Sasa Rais Dr. MAGUFULI Na Inayoendelea Kuishi Hadi Sasa. Kama Utayasahau Yote Sema Tu Baba Tiffah Itatosha!
Mwacheni Kijana wetu msimuingize kwenye siasa wananchi asilimia 40 waliompigia kura Lowassa wataacha kumuunga mkono, mtaharibu biashara yake
 
Mkuu

Mziki unaladha tofauti tofauti.. Hakuna mashabiki wanaopenda miziki ya aina yote, wanatofautiana.. Msanii ili kufanikiwa anatakiwa kuwa flexible, ili awe anawapa mashabiki kila wanachokihitaji kwa muda muhafaka na ndicho anachokifanya Diamond..
 
yuko kama Freemason nikijibu swali lako la msingi
 
yuko kama Freemason nikijibu swali lako la msingi
Ukitumia neno *Kama*.
1.Hauna Uhakika kwa unachocoment.
Hivi #Diamond akikupeleka mahakamani,akikuambia leta ushahidi kwamba Mimi Frimasoni utampa?
2.Yaani anaelekea kuwa frimasoni but not Frimasoni yaani unafananisha tu.Kichwani mwako kina afu kinapotea.
#Usikomenti kitu ambacho huna ushahiidi nacho utafungwa na uozee jela.
 
Nchi haiongozwi kutoka kichwani, inaongozwa kwa mjibu Wa sheria na katiba.

Kwa hiyo swala la kulipa kodi siyo la hiari na wala halijaletwa na Magufuli lipo kisheria. Sasa Membe atuambie angekuwa rais yeye angeongoza kutoka kichwani mwake au kwa kufuata sheria za nchi??
Kumbuka kuna nchi ukikwepa kodi na ikagundulika Unanyongwa!!!

Hakuna nchi iliyoendelea kwa kuleana leana hivi.
Na ndio maana Watz wengi tulikuwa hatutaki rais Wa kuchukua fomu huku ameandama na Kundi la watu ,madhara yake ndio haya, hapa Membe ni lzm anatetea rafiki zake wameguswa..

Lkn Magufuli alishasema tokea mwanzo kuwa kutumbua jipu kuna maumivu, bahati mbaya halina dawa nyingine.

Membe acha tu augulie maumivu ya jipu ndio kupona kwake




Asante Mungu kwa kutuebushia mbali watu Wa aina hii kuwa viongozi wetu
 
HEE bado hujampa zawad ? yale mambo ya pwani yale naona unamshobokea sana.
 
umevurgwa na nini? watu wanamzumzia diamond hayo mambo ya maugomvi yenu peleka kuleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…