mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,258
- 2,842
Huyu ni msanii ambaye kwakweli ameiletea sifa nyingi sn Tz Na Africa kwa ujumla .
Lkn nyimbo zake hata hazina dakika tano najiuliza kuhusu kina Marijan Rajabu nyimbo zao zilikuaa ndefu Na bonge la ujumbe .
Nimejitahidi kumchukuia nimeshindwa kwa sasa cjui kama kuna mtu anamfuatilia Chibu nampenda mno baada ya kumchukia mno
Lkn nyimbo zake hata hazina dakika tano najiuliza kuhusu kina Marijan Rajabu nyimbo zao zilikuaa ndefu Na bonge la ujumbe .
Nimejitahidi kumchukuia nimeshindwa kwa sasa cjui kama kuna mtu anamfuatilia Chibu nampenda mno baada ya kumchukia mno