Tetesi: Diamond yupo mbioni kuzindua jumba lake la kifahari pamoja na ofisi mpya za Wasafi Media

OC-CID

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
200
Reaction score
463
Za ndaaaani kabisa

Msanii Diamond Platnumz yupo mbioni kuzindua jumba lake la kifahari pamoja na ofisi mpya za Wasafi Media.

Ikumbukwe ofisi za sasa za Wasafi Media ni za kupanga. Hivyo mwana anataka uzinduzi wa Mjengo wake mpya ambao utakuwa gumzo jijini uendane sambamba na ofisi za Wasafi Media.

Uzinduzi huo haujajulikana utafanyika lini lakini ni siku chache zijazo…
 
Wewe ndiyo Mama diamond?
 
La mama yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…