Mama diamond?Za ndaaaani kabisa
Msanii Diamond Platnumz yupo mbioni kuzindua jumba lake la kifahari pamoja na ofisi mpya za Wasafi Media.
Ikumbukwe ofisi za sasa za Wasafi Media ni za kupanga. Hivyo mwana anataka uzinduzi wa Mjengo wake mpya ambao utakuwa gumzo jijini uendane sambamba na ofisi za Wasafi Media.
Uzinduzi huo haujajulikana utafanyika lini lakini ni siku chache zijazo…
B mayunga siku hizi simuoni jukwaani au amechange ID?Huu uzi ulitakiwa uletwe na Chawa mbobezi wa WCB sinza pazuri
Pdidy ni baba afaaye kuigwa
La mama yakoZa ndaaaani kabisa
Msanii Diamond Platnumz yupo mbioni kuzindua jumba lake la kifahari pamoja na ofisi mpya za Wasafi Media.
Ikumbukwe ofisi za sasa za Wasafi Media ni za kupanga. Hivyo mwana anataka uzinduzi wa Mjengo wake mpya ambao utakuwa gumzo jijini uendane sambamba na ofisi za Wasafi Media.
Uzinduzi huo haujajulikana utafanyika lini lakini ni siku chache zijazo…
Perfect hapa ndipo unaposhuhudia Roho halisi za Wabongo!Ukisoma komenti za juu ni za watu waliojaa chuki,roho ya kwanini,waliokata tamaa na wasiojitambua
Ukisoma komenti za juu ni za watu waliojaa chuki,roho ya kwanini,waliokata tamaa na wasiojitambua
Sometimes ID inaweza kupumzishwa hata miaka kadhaa huku mtu akitiririka na nyingine, wengi hufanya hivyo.Yule chawa wa WC
B mayunga siku hizi simuoni jukwaani au amechange ID?
Mara nyingi humu wamejaaa desperate!! Uwezi kuwa sawa mudaa huu unazurula humuUkisoma komenti za juu ni za watu waliojaa chuki,roho ya kwanini,waliokata tamaa na wasiojitambua
Ufukara mbaya sana...Ukisoma komenti za juu ni za watu waliojaa chuki,roho ya kwanini,waliokata tamaa na wasiojitambua
Ufukara mbaya sana.La mama yako
La Bibi yakoUfukara mbaya sana.
Pole kwa ufukara.La Bibi yako