Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square


Tutakimbiana humu..LOL
 
Kwanza hear say zinasema dadaa alipenda mpaka alikubali kurukwa ukuta.
 

Ameshaanza kuchuja anatafuta pa kufia na ndo maana anasafiria nyota ya wenzake kwenye kuimba.
 
Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.

Yaan yule mwakitombile hana haya kabisa liongo liongo.
 
Diamond muongo sana. Story yake imepinda pinda anajikanyaga mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] birthday ya zari ya last year alijikakamua na essay. Utamuandikia mwanamke aliye kucheat vile. Hapati kiki na watu wengine zari ni kiki. Tena alivyo na roho mbaya kasubiri zari atangaze mahusiano yake ndio aje aongee mashudu ili kubust redio yake.
Diamond's carrier is over anajitutumia ili mradi tu
 
Ni bora angeendelea kunyamaza tu maana kwa mtu kama yeye ambaye bado anaushamba wa kutaka kuchungulia *?:$ wa kila msichana anayemchekea ningeshangaa kama huyu binti naye asingefanya hivyo. Tofauti yao ni kwamba bibie hakuokoteza kama anavyofanya yeye.
Ukweli ni kwamba akina sisi, mara nyingine huwa chanzo cha wenza wetu kuchepuka.
'What goes around always comes around'
 
Wanaume bwana sie unanua ni mabwege sana. Kweli ndio maana eva akamlaghai adam.
Usijidangaje kamwe eti mihela umaarufu na pete ya ndoa itamfanya mtu ambae katika unana wake alishindwa kujitunza eti ghafla kwako wewe ndio akafulia na papuchi ikawa yako peke yako. Kama umemkuta kashagegedwa basi kaa ukijua wewe na hoyote mwengine atagegeda maana alishashindwa kuuthamini mwili wake
 
ID yako mwenyewe umeshindwa kuiandika halafu unamuita Mond,mshamba teh teh BTW hivi manapata wapi ujasiri wa kumtetea Zari? yule ni malaya+ mtu ambaye ana hadi video za ngono usafi utautoa wapi? she is a bonafide bitch
 
ID yako mwenyewe umeshindwa kuiandika halafu unamuita Mond,mshamba teh teh BTW hivi manapata wapi ujasiri wa kumtetea Zari? yule ni malaya+ mtu ambaye ana hadi video za ngono usafi utautoa wapi? she is a bonafide bitch
Mwanamke akichepuka mwamwita malaya ila mwanamume akiwa anachepuka mnamwita kidume.
Washamba wakubwa nyie ila siwalaumu kwani malezi yanachangia sana katika ukuaji wa watoto.
 

hafu anajidai alikua anazingua tu..lol...hata kama Zari mala.ya..mtu anayemuita hivyo hana usafi huo..atuliege tu na maumivu yake
 
Amechuja halaf usiku mzima mnamuongelea yeye tu kwenye mitandao yote....nyie watu akili zetu zimekaa wapi?
Huo usiku mzima umeniona? Wewe akili yako imekaa wapi kwanza tuanze na wewe
 
Inategemea na mwanaume gani kafunguka.
Km huyu jamaa mmhhh...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…