Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Ha ha ha ngoja embu fanya tafiti mademu wa hapa bongo wanaeza kuwa na wanaume wangapi kwa kipindi cha miaka 4, utachoka na utakuja kugundua zari anajitunza mda wote kwenye relationship anahisiwa tuu kutoka na wanaume wawili seriously?hesabu kwa diamond sasa

Tutakimbiana humu..LOL
 
Diamond kachoka kuvumilia, alimheshimu na akakaa kimya lakini watu huwa wepesi sana kusahau, hakuna siku Zari anaposti bila kumpiga dongo Diamond, hata hiyo ya juzi akimposti bwana ake mpya bado alimdis Diamond, kamchokoza mwenyewe na akiendelea ndo atamwacha uchi kabisa mswahili si wa kuchezea.
Kwanza hear say zinasema dadaa alipenda mpaka alikubali kurukwa ukuta.
 
Ni ujinga Diamond kashakuwa mkubwa Sana Tanzania hii kutegemea Kiki za hivi hata wakina Mbosso wanatoa kazi Bila Kiki na wanahit

Diamond kwa Sasa Kiki zake zilipaswa Kama wenzio wakina Wizikid na Davido kupandishwa stegini na Drake , kuperform matamasha makubwa Kama summer jam au Cocheala

Sasa msanii namba 1 Tanzania anategemea Kiki za kina Zari na Hamisa ili kazi iende seriously? Sasa wakina lavalava wafanyaje?
Hii ni 2019 aiseee

Ameshaanza kuchuja anatafuta pa kufia na ndo maana anasafiria nyota ya wenzake kwenye kuimba.
 
Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.

Yaan yule mwakitombile hana haya kabisa liongo liongo.
 
Diamond ameshindwa kupata mwanamke mwenyekiti Kiki Kama Zari au Wema ndo maaana sasahivi anastruggle mbaya zaidi inaonekana Zari ameamua kumove on na maisha nadhani Diamond alitegemea kitu Cha tofauti za Zari alivyoreact.

Diamond anategemea skendo kuiendesha maisha ya muziki na biashara zake. Na mwanamke alienae Sasa Hana nguvu hiyo

Haiwezekani mtu aliekucheat ukasema utaenda kumuomba msamaha hata kwa magoti, how? Kwenye interview unasema Zari alikupenda kuliko wewe ulivyompenda mbele Tena kidogo unasema ulimtuma Babu Tale South Africa muyamalize na Zari ila lazima Zari akubali aje kuishi Tanzania, yaani mtu humpendi unaenda kumuomba ahame South aje muishi Tanzania wote, how?

Umesema ulimuomba Zari watoto wake Tanzania hapo hapo unasema ujaongea nao tangu October mwaka Jana. Maana yake hapo hakuna connection na affection Kati yako na wototo hapo watoto watakuona Kama stranger tu. Hapo huwezi jua mtoto anapenda Nini, akiumwa anaonyesha sign gani, anapenda chakula gani
Hakuna mwanamke atakukabidhi watoto katika mazingira hayo.
Diamond muongo sana. Story yake imepinda pinda anajikanyaga mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] birthday ya zari ya last year alijikakamua na essay. Utamuandikia mwanamke aliye kucheat vile. Hapati kiki na watu wengine zari ni kiki. Tena alivyo na roho mbaya kasubiri zari atangaze mahusiano yake ndio aje aongee mashudu ili kubust redio yake.
Diamond's carrier is over anajitutumia ili mradi tu
 
Ni bora angeendelea kunyamaza tu maana kwa mtu kama yeye ambaye bado anaushamba wa kutaka kuchungulia *?:$ wa kila msichana anayemchekea ningeshangaa kama huyu binti naye asingefanya hivyo. Tofauti yao ni kwamba bibie hakuokoteza kama anavyofanya yeye.
Ukweli ni kwamba akina sisi, mara nyingine huwa chanzo cha wenza wetu kuchepuka.
'What goes around always comes around'
 
Wanaume bwana sie unanua ni mabwege sana. Kweli ndio maana eva akamlaghai adam.
Usijidangaje kamwe eti mihela umaarufu na pete ya ndoa itamfanya mtu ambae katika unana wake alishindwa kujitunza eti ghafla kwako wewe ndio akafulia na papuchi ikawa yako peke yako. Kama umemkuta kashagegedwa basi kaa ukijua wewe na hoyote mwengine atagegeda maana alishashindwa kuuthamini mwili wake
 
Ni bora angeendelea kunyamaza tu maana kwa mtu kama yeye ambaye bado anaushamba wa kutaka kuchungulia *?:$ wa kila msichana anayemchekea ningeshangaa kama huyu binti naye asingefanya hivyo. Tofauti yao ni kwamba bibie hakuokoteza kama anavyofanya yeye.
Ukweli ni kwamba akina sisi, mara nyingine huwa chanzo cha wenza wetu kuchepuka.
'What goes around always comes around'
ID yako mwenyewe umeshindwa kuiandika halafu unamuita Mond,mshamba teh teh BTW hivi manapata wapi ujasiri wa kumtetea Zari? yule ni malaya+ mtu ambaye ana hadi video za ngono usafi utautoa wapi? she is a bonafide bitch
 
ID yako mwenyewe umeshindwa kuiandika halafu unamuita Mond,mshamba teh teh BTW hivi manapata wapi ujasiri wa kumtetea Zari? yule ni malaya+ mtu ambaye ana hadi video za ngono usafi utautoa wapi? she is a bonafide bitch
Mwanamke akichepuka mwamwita malaya ila mwanamume akiwa anachepuka mnamwita kidume.
Washamba wakubwa nyie ila siwalaumu kwani malezi yanachangia sana katika ukuaji wa watoto.
 
Ni bora angeendelea kunyamaza tu maana kwa mtu kama yeye ambaye bado anaushamba wa kutaka kuchungulia *?:$ wa kila msichana anayemchekea ningeshangaa kama huyu binti naye asingefanya hivyo. Tofauti yao ni kwamba bibie hakuokoteza kama anavyofanya yeye.
Ukweli ni kwamba akina sisi, mara nyingine huwa chanzo cha wenza wetu kuchepuka.
'What goes around always comes around'

hafu anajidai alikua anazingua tu..lol...hata kama Zari mala.ya..mtu anayemuita hivyo hana usafi huo..atuliege tu na maumivu yake
 
Tunasikia mengi sana watu wanapoachana ila asilimia kubwa kutoka kwa mwanamke. This time kwa kuwa ni mwanaume kasema na wanajuana na kina P Square kutakuwa na ukweli hapa.

Mwanaume kufunguka issue za kifamilia sio rahisi ila anapoamua kusema basi kutakuwa na ukweli hapo.
Inategemea na mwanaume gani kafunguka.
Km huyu jamaa mmhhh...!
 
Back
Top Bottom