Five kids bado unafanya ujingaaStaajabu na wewe
Yule hata hafikirii watoto wataonaje..itawaathiri vipi.
Hajali hilo
Bado waje kuona ile video mama anajipiga puchu huku msitu upo nje..ashukuru hakunyoa kwenye ile video.
We mtu ana ushosti na wakina vera unatarajia aweje?
Hapo sasa!tena wenyewe wanamuita bosslady!!!Mungu nusuru kizazi changuHivi kumbe hiyo ni sifa kwa mama mwenye watoto watano[emoji134][emoji134][emoji134]
Lord have mercy.
Kuna watu wajinga sanaa...yaani mambo anayoyafanya zari kwa kua vipofu wa mahaba wanamshabikia kiukweli anachemka mnoo!!!tena mnooo!!!Five kids bado unafanya ujingaa
Hiyo ndegeKumbe dar sio kwenye ndege tena aiseee
Hivi lini diamond atamtimua Zari kwenye ile nyumba yetu sauz?
Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady 😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kabisaa....minions watamtetea tu!!Zari nae ndo wale wale atulie tu bwanaa...[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]leo nacheka mnoooo
Bado anauza sura mtandaoni na picha zake akitangaza biashara.yeye ndio alizimika na chibu akijua atammiliki
😀😀😀😀Mie nimeshamalizana na ya uzi huu.. unaniitia nini wewe babu kizee?
Umeona eehh!Maana kazi ya Zari ssijui mpaka Leo!!Hiyo ndege
Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady [emoji23]
Hii ya pili tutayasikia tu, mbona Diamond yuko proud na Latifa si Nilan?Kumbe chibu alikua anapita akajibebisha mimba mbili paap paap ..katemwa analialia
Daimond bwanaa....ana haki ya kumuacha bi Zari
Hata wale wa Danube nina mashakaUmeona eehh!Maana kazi ya Zari ssijui mpaka Leo!!
Yule ni mdangaji wa kimataifa anadanga na wenye nazo hadangi na wa Vingungutii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wala Manzeseee
Hiyo ndege
Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady 😂
No worries hata konokono ana nyumba yake na watoto kuitwa side kids wasiitwe lakini walizaliwa nje ya ndoa.Basi wadangaji mna kazi maana mwenzenu ana ofisi,hajawahi kukanwa hata siku moja wanae hawajaitwa side kids aiseee mna shida sana
No worries hata konokono ana nyumba yake na watoto kuitwa side kids wasiitwe lakini walizaliwa nje ya ndoa.
Tupo juu lakini bi tukinao ametuzidi, kwingine hadangi anatoa charitydaah wadangaji mpo juu
Hata kama umezaa nae watoto 2 utaishia kucheka!!Full stop
Ukiona mwanaume anabwabwaja kuhusu ex wake jua ameumia
Yaani mwanaume ukiwa na demu humpendi hata ukisikia kagongwa na rafiki yako ndo Kwanza utaishia kucheka
Juu kileleniTupo juu lakini bi tukinao ametuzidi, kwingine hadangi anatoa charity
Hata wale wa Danube nina mashaka