Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Kuna watu wajinga sanaa...yaani mambo anayoyafanya zari kwa kua vipofu wa mahaba wanamshabikia kiukweli anachemka mnoo!!!tena mnooo!!!
Staajabu na wewe
Yule hata hafikirii watoto wataonaje..itawaathiri vipi.
Hajali hilo
Bado waje kuona ile video mama anajipiga puchu huku msitu upo nje..ashukuru hakunyoa kwenye ile video.
We mtu ana ushosti na wakina vera unatarajia aweje?
Five kids bado unafanya ujingaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu inawauma wanatamani wao ndio wangeongelewa ila bwana ZARI katawala kila kona kama numby ndani ya uzi huuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe dar sio kwenye ndege tena aiseee

Hivi lini diamond atamtimua Zari kwenye ile nyumba yetu sauz?
Hiyo ndege
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kabisaa....minions watamtetea tu!!Zari nae ndo wale wale atulie tu bwanaa...[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]leo nacheka mnoooo
Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady 😂
 
Hiyo ndege

Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady [emoji23]
Umeona eehh!Maana kazi ya Zari ssijui mpaka Leo!!

Yule ni mdangaji wa kimataifa anadanga na wenye nazo hadangi na wa Vingungutii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wala Manzeseee
 
Kumbe chibu alikua anapita akajibebisha mimba mbili paap paap ..katemwa analialia

Daimond bwanaa....ana haki ya kumuacha bi Zari
Hii ya pili tutayasikia tu, mbona Diamond yuko proud na Latifa si Nilan?
 
Basi wadangaji mna kazi maana mwenzenu ana ofisi,hajawahi kukanwa hata siku moja wanae hawajaitwa side kids aiseee mna shida sana

Mbona umemsahau na trainer
Hiyo ndege

Tofauti ni mifuko ya madanga lakini wote tu wadangaji, tena Peter alikuwa anakula kwa siri bossy lady 😂
 
Basi wadangaji mna kazi maana mwenzenu ana ofisi,hajawahi kukanwa hata siku moja wanae hawajaitwa side kids aiseee mna shida sana
No worries hata konokono ana nyumba yake na watoto kuitwa side kids wasiitwe lakini walizaliwa nje ya ndoa.
 
Kuna umuhimu wa mafunzo ya JANDO na UNYAGO kupewa kipaumbele kama zamani ili wake kwa waume wajue nini cha kusema hadharani na kipi cha kukaa kimya. Diamond na Zari wote mmefanya utoto mlivyotangaza mmeachana ilitosha sana hizo sababu kila mtu angebaki na zake kifuani hiki mnachofanya ni kuvuana nguo maana kila mtu akieleza vya mwenzie naiman yatazuka makubwa..Diamond
Zari ni mama wa watoto wako ni mwanamke pekee alioaminisha watanzania kwamba ww si TASA kama ilivyokuwa inasemekana si vizuri kumfanyia unavofanya maana ni kama unamdhalilisha na kama ujuavyo Teknolojia haosahau vip wanao siku moja wakijaona inteview ukimsema mama yao unahisi watakuweka kwenye kundi la baba wa aina gani?? Kifupi ww ni mdhalilishaji hakuna mwanamke utakaeachana nae bila KUMDOBOA tena hadhani ,Unajisahau sana kwamba na ww unao madada na mama pia muda wowote meza inaweza geuka na wao tukaona wanavyodhalilishwa na wanaume zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…