Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
mchawi katika ubora wako, wew ndo unaujua ukwel kuliko mond !! bila kupepesa macho wewe n mke wa alikiba,!!!!!
 
Janamke kama lile kukaa mbalimbali nae hata wiki tu bila kumegwa na wengine mkatambike. Hilo moja. Pili kuwa tu kwenye mahusiano au kumuoa Zari ni kujitakia pressure kuuubwa. Ukimuoa kama yule kubali tu lazima tu utamegewa. Nimalize tu kwa kusema mke yoyote atakaemuoa Diamond lazima amegwe na masela wengine. Watamwinda balaa wampige ukuni,kssb tu ya ufemas wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kudanga hadi kuhongwa magari na majumba nacho ni kipaji kwa kweli.
Wengine wanasema ni boss fake anakodi magari. Hayo magari wanakodisha bure [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Waganda wanavuta mashavu ya naniiii weee ni hatari. Kila siku lazima wafanye na wewe huko DAR. Kwa nini Peter asifanye
 
Zari ni mdangaji km wengine tu daimond tunamuamini pia km yeye aliweza kumuamini ,sisi ni nani tusimuamini?

Halafu na yeye kumbe alikua sidechick wa Peter ?hahaaaaaaaaaaa

Jamani kaaahh!
Unamuamini Kama alivyosema mtoto wa Hamisa mobetto sio wake pale Clouds fm?
 
Wanaume wengi wanapenda wakimuacha mwanamke apate mwanaume wa Hali ya chini zaidi yake wengi huona wao ndo kiwango chako Cha juu Cha ubora Sasa akitokea mwanamke kapata jamaa Yuko vizuri zaidi yake lazima ajione mdhaifu ndo hapo anapata hasira.

We angalia wanaume wote ukimuacha then akapata jamaa yupo juu yake lazima aanze kuponda na kusema yeye ndo aliamua kumuacha
 
Kelele za chura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndivyo walivyo, kama aligundua yeye kwanza kwanini asingesimama kama mwanaume iweje sasa !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmm mfano hao waliotuweka sahizi hapa kwenye keyboard, walikuwa bado wapo kwenye heat lazima aumie

Sent using Jamii Forums mobile app
Zari angekuwa amekipa kijamaa hakieleweki hakina kipato Diamond asingejisumbua kabisa kujua habari zake

Ni kama vile unaona Wema Sepetu anavyoangaika na watunwasioeleweka Diamond Hana time nae Tena Hana thamani kwake Sasa ingekuwa Wema kapata jamaa classic anauwezo wake vizuri. Na Wema anaishi maisha Mazuri ungeona anavyolia Lia

Kama Kipindi kile Wema yupo na jamaa wa ikulu Clement pesa ipo Diamond alikuwa Kila siku Wema Sepetu mdomoni kwake
 
Ndiyo hivyo angeponda tu na kudharu, ngoja mmama wa watu ale bata kwa raha zake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh Robert Marley Naye katisha sana
Watu wanapiga kelele wakati ndio kwanza Mondi kazaa na wanawake watatu,Bob marley pamoja na IQ yake kubwa lakini alishindwa kukicontrol kichwa cha chini kazaa na wanawake saba watoto kumi na moja.We upo south mwenzako yupo TZ alafu mtu mwenyewe zipu mbovu unamlia yamini hataokucheat.Hapa tunaongea tu LAKINI KAMA MWANAUME KAMA WEWE UNGEKUWA DIAMOND ,NINAUHAKIKA UNGEWAFYATUA TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…