Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kuachwa ni shughuli pevu.
20190424_123907.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yaani nacheka balaa!!
It was ju the matter of time haya kutokea halafu diamond kajikaza mbona!!

Tena kachelewa balaa...kama naona team tukinao wanavyomponda Hamisa leo...!!km ye ndo alimtuma Zee la kiganda kulala na Peter au trainer

Ahsante daimond!!umeninyooshea mtuu!!!
 
Ni maamuzi anayoamua bila kufikiria tofauti iliyopo kati ya yeye na wenzie..
Ifike mda sasa atambye hiyo tofauti..
Mama miaka 40 na watoto 5 unabehave na kuenenda kama binti wa miaka 20 aside na mtoto..
Beauty without brain what suffers the most is private parts
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maskin anawatoa roho watu
57457108_153669402335065_2267342540311986263_n.jpg
 
Kwani zari yeye malaika,mbna hata mondi alimpata akitoka dar kudanga kwa muzamil.wote wamekutana pipa na mfuniko
Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikutana Madale au Tandale alipowakutanisha??

Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
 
Kumbe dar sio kwenye ndege tena aiseee

Hivi lini diamond atamtimua Zari kwenye ile nyumba yetu sauz?
Kwani zari yeye malaika,mbna hata mondi alimpata akitoka dar kudanga kwa muzamil.wote wamekutana pipa na mfuniko
 
Story ni kwenye ndege wakitoka wote dar,zari kwa age yke angekaa kimya tungemuona chibu mwongo.
Ila kumjibu ni kupanic
Kumbe dar sio kwenye ndege tena aiseee

Hivi lini diamond atamtimua Zari kwenye ile nyumba yetu sauz?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kabisaa....minions watamtetea tu!!
Beauty without brain what suffers the most is private parts
Zari nae ndo wale wale atulie tu bwanaa...[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]leo nacheka mnoooo
 
Back
Top Bottom