Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Diamondplatnumz VS Alikiba moja ya battle ambayo iko very strong huwezi kutaja Bongo Flavor without hawa Ma giant Wawili
Bongo Flavor kwa sasa imekamatwa na Diamondplatnumz na Alikiba hao wengine ni Wafata mkia tu
The Next New Generation itakuwa na Mahasimu Wawili Marioo VS Aslay (sijui aslay anakwama wapi au ni kiburi kimjubisha) after Diamondplatnumz and Alikiba basi itafata Marioo VS Aslay
Bongo Flavor kwa sasa imekamatwa na Diamondplatnumz na Alikiba hao wengine ni Wafata mkia tu
The Next New Generation itakuwa na Mahasimu Wawili Marioo VS Aslay (sijui aslay anakwama wapi au ni kiburi kimjubisha) after Diamondplatnumz and Alikiba basi itafata Marioo VS Aslay