Diana-dabodiff ndani ya nyumba.

Diana-DaboDiff

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2009
Posts
376
Reaction score
19
Naitwa Diana lakini mtaani kwetu huku Mburuhati wananiita diana-dabodiff, nafurahi kujiunga hapa.
 
Double Diff? What a name?

Anyways nyegera waitu!
 
Ninahamu ya kukuona double diff wa mburahati teh teh
 
Double diff inauhusiano wowote na ile kampuni yetu ya mambo ya kujiexpress? nina maana ya tiGo ? Karibu sana
 
Double diff inauhusiano wowote na ile kampuni yetu ya mambo ya kujiexpress? nina maana ya tiGo ? Karibu sana

Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
 
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Mamaaa DDD unamakeke wewe mmmh ila naona haujamuelewa Masanilo.
Upo Voda iliuonekane hujapigika? Daaaaa wemkali. KARIIIIIIIIIIIIIIIIBU JF.
 
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.

Ha!ha!ha!ha!ha!.....Double D sina uhakika kama umemwelewa vizuri mtaalam Masanilo.......!

BWT....Karibu sana JF!
 
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.


Kume ukitumia tIGo au Zantel unaonekana hoi!!! Lakini wakaribishwa sana
 
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.

My dia jaribu tiGo ni mtaandao wa wajanja, nina uhakika ukiujaribu asilani huwaweza uacha ukizingatia wewe ni double diff...
 
karibu sana tena umekuja wakati muafaka, maana hilo jina DDD, mnhhh.
 
Ama Double diiff jamani mbona una mbwembwe nitakuomba uje univute na diff yako kwani hill ni gari la mi aka ya akina Fataki
 
Ha!ha!ha!ha!ha!.....Double D sina uhakika kama umemwelewa vizuri mtaalam Masanilo.......!

BWT....Karibu sana JF!
Mwache triple D ajivinjari humu, atamuelewa baada ya muda si mrefu... kama kweli hajamuelewa
 
Karibu Mwana,Karibu Double diff,Karibu ndani!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu ndie Diana yule nimjuaye? kuleeeeee? kama ni wewe karibu, jamvi limepata makali oh ! na kama si wewe pia karibu, jamvi lahitaji!
 
D,nikufahamishe tu mtaalam masalini ni mtaliani dat y amekuuliza hivyo,kaaaari sana DDD
 
Huyu ndie Diana yule nimjuaye? kuleeeeee? kama ni wewe karibu, jamvi limepata makali oh ! na kama si wewe pia karibu, jamvi lahitaji!

Mzee mwenzangu sidhani kuwa anamfahamu Diana huyu nilisoma post yako moja ulivyokuwa unayaruka magoma na kina marehemu zialor na meya sykes enzi zetu zilee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…