Diana-dabodiff ndani ya nyumba.

Diana-dabodiff ndani ya nyumba.

My dia jaribu tiGo ni mtaandao wa wajanja, nina uhakika ukiujaribu asilani huwaweza uacha ukizingatia wewe ni double diff...

Hebu ongea nikuelewe mtoto wa kiume unajiuma uma nini? nshakuambia niko vodacom.
 
Mwambie kwanza akale ngisi ashushie na pweza ashushie na tikiti maji nd akuone shosht aache kuleta kiswahili kirefu dabo diff si short chasis babueee
 
Mbona kuna mapedeshee wengi tu wana namba za Tigo, lakini kwenye business card zao wameweka za Vodacom.... akikupa kadi yake anakwambia ninapatikana kwenye mitandao yote, lakini ukinikosa piga namba hiyo hiyo kwa Tigo ya kumi na tatu!
 
Hebu ongea nikuelewe mtoto wa kiume unajiuma uma nini? nshakuambia niko vodacom.

Teh teh teh mambo yako tiGo wewe! Achana na Voda walai ninakuhakikishia raha yake utaitupa hiyo laini yako wala usihofu binti....!
 
Hebu ongea nikuelewe mtoto wa kiume unajiuma uma nini? nshakuambia niko vodacom.

Nilikuwa nakushauri ujaribu na tiGo nina hakika utafurahia maraha yake! Ama vipi wewe ni PM tuongelee mambo ya kujiexpress!
 
Mi nitakuja Mburahati week end hii kule kwa yule mzee anae choma kiti moto unapajua pale Diana? Yule anae choma swine week end tu.

Mazee speed zako kali sikuwezi huyu mwendee na line ile ya tiGo lazima mtajiexpress!
 
Ngoja niwajibu hapa nimepata pm nyingi sana lakini sijaona hata moja ya kujibu,kwa kifupi zilikuwa nivute na dabodiff yako,nakula ngisi na pweza na matikiti kwa wingi,napata konyagi nakuja??? Jamani si inabidi tujuane kwanza,maongezi ya kawaida na baadae tunaweza fika huko.
 
Mbona kuna mapedeshee wengi tu wana namba za Tigo, lakini kwenye business card zao wameweka za Vodacom.... akikupa kadi yake anakwambia ninapatikana kwenye mitandao yote, lakini ukinikosa piga namba hiyo hiyo kwa Tigo ya kumi na tatu!

Asante Mwanahaki hebu nisaidie wengi wanaweka namba za Vodacom au Zain kwenye card kama status symbol.Nami kama mtoto wa kike siwezi kutimia Tigo si hadhi yangu.
 
Back
Top Bottom