Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kama uliangalia mpira wa Jana wa WANANCHI vs Geita gold sports nadhani utakubariana na Mimi kuwa
Diara aliamua alikuwa na hesabu zake Kali tu ......kwani alikuwa na uwezo wa kudaka penalt zote za mwanzoni ........pia kitendo cha kukosa penalty ile ikuwa ni GAME plan ili kuwa tumbo joto shabiki Lia Lia za simba (MAKOLO)
Kwa sababu alijua kuwa YANGA (Russia) ilikuwa inacheza dhidi ya muunganiko wa timu nyingi Geita gold sports + simba + Azam ( NATO) at the end wote walikula kichapo heavy
Naomba kuwasilisha
Diara aliamua alikuwa na hesabu zake Kali tu ......kwani alikuwa na uwezo wa kudaka penalt zote za mwanzoni ........pia kitendo cha kukosa penalty ile ikuwa ni GAME plan ili kuwa tumbo joto shabiki Lia Lia za simba (MAKOLO)
Kwa sababu alijua kuwa YANGA (Russia) ilikuwa inacheza dhidi ya muunganiko wa timu nyingi Geita gold sports + simba + Azam ( NATO) at the end wote walikula kichapo heavy
Naomba kuwasilisha