DIARA angeweza kudaka penalt zote, sema aliamua kuwapa presha mashabiki wa Simba

Manara japo ni lopolopo ila sometimes anakuwaga mkweli
"Huko yanga mwenye akili ni mzee kikwete tu na mzee sande manara waliobaki ni mazuzutu"
JE vipi makolo wailio changishwa jero jero za kujenga uwanja ......TUWAWEKE KUNDI GAN LA UJINGA [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mdaka mishale ya nyuma labda ila ya mbele yote imepita
 
Ukweli unabaki pale pale, Yanga hakuna golikipa mwenye uwezo wa kudaka penati tatu kati ya tano za mwanzo. Simba haijawahi kufikishana na mtu kwenye ujinga wa penati saba, tangu enzi za Idd Pazi, Mwameja, Kaseja na sasa Manula. Kule Mapinduzi Yanga ilifikishana na mtu penati nane!
 
Mwaka 1992 Simba ilichukua ubingwa wa Klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Sasa KAGAME) kule Uwanja wa Amaan Zanzibar, kwa kumfunga Yanga penalti 9-8 baada ya dakika 120 kufungana 1-1.
Beki 2 tegemeo wa Yanga kwa wakati huo David Mwakalebela ndie aliewaua kwa kukosa penalti yake baada ya kuwa wachezaji wote walikuwa wamechapiga, hapo ni baada ya mchezaji 1 wa kila upande kukosa kwenye zile za piga nikupige.
Mechi hiyo mchezaji mmoja wa Yanga alikula umeme wakati wakiwa wako nyuma kwa goli moja.

Unasemaje Simba haijawahi kufikishana penalti saba kwenye kupigiana matuta.
 
Huo mwiko wa nyuma umeanza kuleta madhara. Ikiwa ndio hapo upo kamili kamili kabisa unawaza na kuhitimisha. Basi yaweza kuwa jini mahaba linakutamani, kimbia.
 
Ile ilikuwa game tactics....mkuu....imean yanga walijua watashinda.....ila waliona wasogeze mbele muda
 
Hawa ndo wale wanachipukia[emoji23][emoji23]
 
Huo mwiko wa nyuma umeanza kuleta madhara. Ikiwa ndio hapo upo kamili kamili kabisa unawaza na kuhitimisha. Basi yaweza kuwa jini mahaba linakutamani, kimbia.
Mbona una makasiriko mkuu
 
Utaahira huu unapatikana huko Utopolo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…