FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Habari za saivi wakubwa.
Naomba nimuongelee kipa wa Yanga Diara. Namuona ni kipa wa kawaida tu, hana ubora anaodhani kuwa anao. Hamfikii hata robo ya Manura, naona dogo Msheri ni mzuri kumzidi au wanalingana.
Tabia yake ya kuuchezea mpira kwa sifa ipo siku itampoza ataondoka Yanga kwa aibu. Anasifa sana kama za Inonga.
Mliohumu marafiki zake mwambieni.
Naomba nimuongelee kipa wa Yanga Diara. Namuona ni kipa wa kawaida tu, hana ubora anaodhani kuwa anao. Hamfikii hata robo ya Manura, naona dogo Msheri ni mzuri kumzidi au wanalingana.
Tabia yake ya kuuchezea mpira kwa sifa ipo siku itampoza ataondoka Yanga kwa aibu. Anasifa sana kama za Inonga.
Mliohumu marafiki zake mwambieni.