Diara yupo golini Mali ikiwa uwanjani

Diara yupo golini Mali ikiwa uwanjani

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Yule kipa bora wa Africa na mwanafinalist wa CAF yupo dimbani leo Mali ikicheza na South Sudan mpaka sasa wakiongoza kwa mbili kipindi cha kwanza.

Yule kipi wetu mdaka penalty za mbambamba jana hata kwenye benchi sikumuona.
 
South sudan hata wakicheza na timu yetu ya kijiji na mimi nikakaa nyanda lazima kijiji chetu kishinde wewe ndo unafika kuwaanzishia uzi hapa?

ALIEWAITA UTOPOLO MAMBWA AJENGEWE SANAMU PALE AVIC TOWN.
 
South sudan hata wakicheza na timu yetu ya kijiji na mimi nikakaa nyanda lazima kijiji chetu kishinde wewe ndo unafika kuwaanzishia uzi hapa?

ALIEWAITA UTOPOLO MAMBWA AJENGEWE SANAMU PALE AVIC TOWN.
Wewe ni mbumbumbu KABISA,nenda kaangalie mechi ya congo vs Mali 18 June ,golini upande wa Mali alikaa nani?
 
Nilimuona jana. Wakati naangalia nikajisemea kuna watu wakimuona tu langoni, watabadilisha faster channel kwa aibu.
Hahahahaaa! Huko south sudan klabu bingwa ni zalan fc, jiulize hao mali kabla hawajafuzu huyo muhanga wa kibu d alidaka mechi ipi
 
Hahahahaaa! Huko south sudan klabu bingwa ni zalan fc, jiulize hao mali kabla hawajafuzu huyo muhanga wa kibu d alidaka mechi ipi
Congo vs MALI

MBUMBUMBU MNAPATA SHIDA SANA[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom