Diary ya Kiongozi wa Upinzani iliyotibua mambo 2020

Diary ya Kiongozi wa Upinzani iliyotibua mambo 2020

Makumbele

Member
Joined
May 9, 2009
Posts
77
Reaction score
431
Kuna mengi yatakuja kuwa public lakini litakalowashtua wengi ni ‘Diary’ hii ya kiongozi ambayo ilikuwa ‘funga mwaka’ ya 2020.

Wachache mtanielewa kwa sasa lakini funzo kuu ni kuwa uandishi wa taarifa nyeti katika diaries kumewaponza watu ingawa huenda kumeliokoa Taifa.

Kuna walioaminika sana, wakajizolea umaarufu lakini siku hili likianikwa itakuwa ngumu kumeza! Kuna ambao watadhani ni uongo ila bahati mbaya sana ni ukweli unaouma kuujua.

Tanzania yetu itaendelea kusimama, bila kujalisha ni milima mingapi na mabonde tutavuka.

Take note: Diary hii ilikuwa na siri nyingi, imewaacha wengi uchi!
 
Kuna mengi yatakuja kuwa public lakini litakalowashtua wengi ni ‘Diary’ hii ya kiongozi ambayo ilikuwa ‘funga mwaka’ ya 2020.

Wachache mtanielewa kwa sasa lakini funzo kuu ni kuwa uandishi wa taarifa nyeti katika diaries kumewaponza watu ingawa huenda kumeliokoa Taifa.

Kuna walioaminika sana, wakajizolea umaarufu lakini siku hili likianikwa itakuwa ngumu kumeza! Kuna ambao watadhani ni uongo ila bahati mbaya sana ni ukweli unaouma kuujua.

Tanzania yetu itaendelea kusimama, bila kujalisha ni milima mingapi na mabonde tutavuka.

Take note: Diary hii ilikuwa na siri nyingi, imewaacha wengi uchi!
Umeandika as if watu wapo kichwani mwako
 
Kuna mengi yatakuja kuwa public lakini litakalowashtua wengi ni ‘Diary’ hii ya kiongozi ambayo ilikuwa ‘funga mwaka’ ya 2020.

Wachache mtanielewa kwa sasa lakini funzo kuu ni kuwa uandishi wa taarifa nyeti katika diaries kumewaponza watu ingawa huenda kumeliokoa Taifa.

Kuna walioaminika sana, wakajizolea umaarufu lakini siku hili likianikwa itakuwa ngumu kumeza! Kuna ambao watadhani ni uongo ila bahati mbaya sana ni ukweli unaouma kuujua.

Tanzania yetu itaendelea kusimama, bila kujalisha ni milima mingapi na mabonde tutavuka.

Take note: Diary hii ilikuwa na siri nyingi, imewaacha wengi uchi!
Bora usingeandika chochote. Unataka tuwe watabiri unaongelea nini??
 
Ungemsimulia tuu mkeo nyumbani, umeshindwa hata kuweka kwenye codes watu wazivunje wenyewe!
 
Bora usingeandika chochote. Unataka tuwe watabiri unaongelea nini??
Usitabiri. Be informed, kuna diary imetufikisha hapa. Watu wanahaha kulizima lakini limeshakuwa kubwa zaidi. Ni suala la muda tu, itajulikana.

Remember the DIARY
 
Mkapa akaenda na ndoto zake za tume huru!Lisu akaja na technolojia ya hali ya juu mno ambayo ilisababisha mfalme aibe wazi wazi tena bila aibu,akaona haitoshi aongeze miaka ya kuwepo madarakani!!!Wajanja wakainyaka diary ya siri mambo hadharani pole pole!!!MAUMIVU TENA!!!
 
Kuna mengi yatakuja kuwa public lakini litakalowashtua wengi ni ‘Diary’ hii ya kiongozi ambayo ilikuwa ‘funga mwaka’ ya 2020.

Wachache mtanielewa kwa sasa lakini funzo kuu ni kuwa uandishi wa taarifa nyeti katika diaries kumewaponza watu ingawa huenda kumeliokoa Taifa.

Kuna walioaminika sana, wakajizolea umaarufu lakini siku hili likianikwa itakuwa ngumu kumeza! Kuna ambao watadhani ni uongo ila bahati mbaya sana ni ukweli unaouma kuujua.

Tanzania yetu itaendelea kusimama, bila kujalisha ni milima mingapi na mabonde tutavuka.

Take note: Diary hii ilikuwa na siri nyingi, imewaacha wengi uchi!
Twitani ndipo watu wanaandika kwa "codes"
 
Diary ipi unazungumzia??
Ile ya JK aliyoanza kuiandika kwenye kitabu chake au kuna nyingine??

Nothing lasts forever
 
Back
Top Bottom