DIASPORA ATUA JIJI JUMLA KWA KISHINDO BILA HODI! MAZITO YAMKUTA! Akesha ubalozi kusak visa ya malkia

kweli 100%

namjua mhanga wa hili..........ama kweli mjini kuna umbea.....
Ujue lara 1 mmbea huwa siku zote anasema kweli, ila tu shida inakuwa kwamba anapeleka ujumbe pasipo kuulizwa tu.

daaaah!
 
Last edited by a moderator:
A personal question and sorry in advance- Hivi wewe na huyo mwenzio-who wears the trousers in the house?? me is just thinking aloud

In any relationship, there is a room for only ONE MAN!!!!!!!!!! If u want to be treated like a man, then you gotta BE A MAN that you are, and earn your tittle " MAN OF THE HOUSE"
 
mie kooooote sijacheka ,umeniacha hoi na majiya TB joshua ,ahahhahahha sijui ni original??
usiniambie unawazia kale ka laki kako!

Hahahaaaaaa! Laki wapi, wakati nimegongea kwa mdau, na huyo mdau nae alipewa na mdau mwingine! Yaani cheni ni ndefu!

Japo nashukuru Mungu yananisaidia si uongo! Kuna mdau kaniahidi at the end of this week atayapata yale Original from Nigeria, nayasubiria kwa hamu! Kwa neema za Mungu, atufikishe hio mwisho wa wiki salama tufanikishe
 
Jamani watu wa mantoni mnasikia ya Lara1. Ni kweli tupu ila sema ndo lugha za mafumbo haswa? Sijafahamu yule mfadhili wa JF kama amesharudi au la maana hasikiki kabisa!!!! Yaani hata Shigongo hamfanyii tena promo!!! Ha ha ha!!!! Kweli hayavumi hadi mwisho!!!!!
 
i think i am slowly falling in love with Lara's threads...

dah:brushteeth::brushteeth:
 
In any relationship, there is a room for only ONE MAN!!!!!!!!!! If u want to be treated like a man, then you gotta BE A MAN that you are, and earn your tittle " MAN OF THE HOUSE"
So exactly what makes man,a man-satisfying your lust everytime you feel horny OR is there something else???
 
:love:
 
Ahahahah umenimalizia stress zote asanteee

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
namjua mhanga wa hili..........ama kweli mjini kuna umbea.....
Ujue lara 1 mmbea huwa siku zote anasema kweli, ila tu shida inakuwa kwamba anapeleka ujumbe pasipo kuulizwa tu.

daaaah!

Like yangu ni kwa ajili ya hapo kwa red sista
 
mkuu usimkatishe tamaa bhana, wengine tuna-enjoy reading her stuff!!
simple - ukiboreka si una skip tu uzi wake aisee, naona hadi unajipa jukumu la kutusemea (hapo kwa red)

haya mkuu! heshima yako mkuu!
 
Hapo kwenye red, tafadhali usisemee mioyo ya watu wengine...Kama umechoshwa ni kivyako kuna watu wanasoma na wanafurahia mastori ya town..

ok mkuu, nimeguswa pasipo guswa! niwie radhi mkuu!
 
jamaaa ana muda wa k kweli watu walivo wengi wanahitaji ukombozi

niruhusu nikatafute hako kastori nikupestie hapa....
mi mwenyewe sijakaamini ssana,
huyo pastor kafunguka
ni siku za nyuma kidogo
 

The same old stories.....
 
Ninasubiri hela ya diaspora mmoja niitungue........muda huu alipitia south nadhani hadi wiki ijayo atafika kwa Nyerere. Hela ya diaspora tamu sana......alafu nyingiiiiii haina kipimo. Ila ikikata mweeeehhh
 

Be careful na ibada ama imani za maji ya kuponya!!. Hakuna popote kwenye Holy Bible imeandikwa kuna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…