Ni maisha magumu sana. Bola tu ukae Tanzania utafute milioni mia mbili kwa uhuru, utembee huko. Ni rahisi zaidi kupata pesa bongo zaidi kuishi nchi za watu bila papers.In case you didn't know watu wanazamia kila leo. Kunajamaa namfahamu yupo kule toka 2004 mpaka leo 2023 hana documents.
Hakika. Watu wanaingia kiwanja kila siku wanaacha shule, wanaingia mtaani na wanatoboa. Wanaingia na visiting visa wanazamia na hadi Leo wanadunda. Sisemi watu wavunje Sheria ila inawezekana, kigumu ni kufika kiwanja tu, ukifika mengine yote utazidiashiwa.In case you didn't know watu wanazamia kila leo. Kunajamaa namfahamu yupo kule toka 2004 mpaka leo 2023 hana documents.
Unajua kusoma??? Bro kazi ni nyingi ambazo unaruhusiwa I know mwanamke mmoja TX ana caregiver company na anadhamini wabongo wengi tu na wanapata karatasi. Truck driving jobs zipo kibao mwajiri akikudhamini unapata working visa mapema tu. Wanachoangalia ni upungufu wa wafanyakazi katika kada flani mfano kulea wazee mbona unapata gamba mapema tu.With visiting visa huruhusiwi hata kutafuta kazi that by itself ni kosa. Employer inabidi a-prove kakosa mtu mwenye vigezo USA kukusponsor wewe.
Wabongo wengi Wana cleaning companies, group homes na restaurant, no knock on them ila hizo kazi hupewi work authorization.
Embu subiri kwanza. Hichi kimombo ni chenyewe kabisa ni chenyewewameingia as late as last month
Bongo utafute million mia mbili dah, we unaishi bongo gani au ndio nyie mliouza bandari. Sie wa dagaa chukuchuku.Ni maisha magumu sana. Bola tu ukae Tanzania utafute milioni mia mbili kwa uhuru, utembee huko. Ni rahisi zaidi kupata pesa bongo zaidi kuishi nchi za watu bila papers.
Achana na stori za magengeni watu kama wewe huwa ninawashauri muaanze na safari za karibu kama south africa ili mjue life la bila papers linakuwaje kiwanjani kabla ya kukwea pipa kwenda mbali maana usije ukauza utu wako nchi za watu bwana.Hakika. Watu wanaingia kiwanja kila siku wanaacha shule, wanaingia mtaani na wanatoboa. Wanaingia na visiting visa wanazamia na hadi Leo wanadunda. Sisemi watu wavunje Sheria ila inawezekana, kigumu ni kufika kiwanja tu, ukifika mengine yote utazidiashiwa.
Tusaidie ndugu zako wa Tz. Maana wengi sana TUNADHANI tunakijua kimombo yani tunajifanya wajuaji ila kiuhalisia tupo mbali sana na ukweli, Kwani tunazungumza kitu kinachofanana na kiingereza na sio kiingereza.Recent mkuu 😅
Bongo bila kuiba kutoboa ni hamnaAchana na stori za magengeni watu kama wewe huwa ninawashauri muaanze na safari za karibu kama south africa ili mjue life la bila papers linakuwaje kiwanjani kabla ya kukwea pipa kwenda mbali maana usije ukauza utu wako nchi za watu bwana.
Kama huna papers ni bora ubaki bongo tu maana waliobongo watakupiga bao bila papers huwezi fungua hata bank account, ukiumwa sasa ndio kifo.
Unajua kusoma??? Bro kazi ni nyingi ambazo unaruhusiwa I know mwanamke mmoja TX ana caregiver company na anadhamini wabongo wengi tu na wanapata karatasi. Truck driving jobs zipo kibao mwajiri akikudhamini unapata working visa mapema tu. Wanachoangalia ni upungufu wa wafanyakazi katika kada flani mfano kulea wazee mbona unapata gamba mapema tu.
Ni kweli lakini papers ni muhimu nchi za watu japo kukosa papers nchi kama US ni uzembe wako, usifanye kosa la kuoverstay tafuta solution mapema kabla ya tourist visa yako kuisha ikishindikana tafuta dem uoe chapu. Vinginevyo utaishi kwenye majuto na kurudi bongo unaona aibu utakufa maskini kiwanja.Bongo bila kuiba kutoboa ni hamna
You can say that again.Bongo gov imelala.
Achana na stori za magengeni watu kama wewe huwa ninawashauri muaanze na safari za karibu kama south africa ili mjue life la bila papers linakuwaje kiwanjani kabla ya kukwea pipa kwenda mbali maana usije ukauza utu wako nchi za watu bwana.
Kama huna papers ni bora ubaki bongo tu maana waliobongo watakupiga bao bila papers huwezi fungua hata bank account, ukiumwa sasa ndio kifo.
Acha uwoga weweNi kweli lakini papers ni muhimu nchi za watu japo kukosa papers nchi kama US ni uzembe wako, usifanye kosa la kuoverstay tafuta solution mapema kabla ya tourist visa yako kuisha ikishindikana tafuta dem uoe chapu. Vinginevyo utaishi kwenye majuto na kurudi bongo unaona aibu utakufa maskini kiwanja.
Mimi nakupa elimu tu ndugu yangu ili utoe ukungu. Alafu wabongo wapo wenye kampuni kubwa kuliko unavyofikiri anyways soma andiko hilo hapo chini ili uijue vizuri EB-3 visa.Chief, wabongo wote wanaajiri watu under the table kwenye hizo group homes (caregiver companies), I mean zote. From TX to Seattle to DC to everywhere.
Hakuna mbongo thus far that I know ambaye kapata work permit kwa hizo kazi and I know quite a few.
Unachoongelaa wewe ni ile Mikataba ya baadhi ya nchi kuingia in contract ya kusaidia workforce USA, nchi kama Mexico, Jamaica nk. Hata Kenya wanapeleka manesi nje. Bongo gov imelala.
Hahaha pole bro kama ulidhani niko mwananyamala ila sio lazima ujue nina rep kiwanja ganiWell, you're preaching to the choir nipo kiwanja already, nipo Switzerland rn hiking the Swiss Alps. Niliingia kiwanja, nikatoka out of status for YEARS. Nikapiga box under the table for YEARS. Nikarekebisha mambo. Nikamaliza shule. Sasa nakula kuku kwa mrija. Uwoga wako, umaskini wako.
View attachment 2684007
Caregiver unapata papers haraka sana. Chakufanya tafuta wakili ongea na mwajiri wako akudhamini apply EB-3 visa. Unapata na unasebenza mitano tena. Speaking from my own experience.Chief, wabongo wote wanaajiri watu under the table kwenye hizo group homes (caregiver companies), I mean zote. From TX to Seattle to DC to everywhere.
Hakuna mbongo thus far that I know ambaye kapata work permit kwa hizo kazi and I know quite a few.
Unachoongelaa wewe ni ile Mikataba ya baadhi ya nchi kuingia in contract ya kusaidia workforce USA, nchi kama Mexico, Jamaica nk. Hata Kenya wanapeleka manesi nje. Bongo gov