Diaspora Hawatoi connection?

Sema kwanini msingeunda group wanaotaka kwenda nje then mkapata wazoefu wakuwaongoza hii ushaur through id ambazo hujui ni nan ni shughuli

Fuatilia pages za EBM anatoa consultation for a small fee. Sisi wengine tunapenda anonymity.
 
meandika bango reeeeefu. Unataka connection ipi?

Unataka kwenda kufanya kazi wapi au ipi tukufahamishe namna ya kufikia malengo yako, wacha porojo.
 
meandika bango reeeeefu. Unataka connection ipi?

Unataka kwenda kufanya kazi wapi au ipi tukufahamishe namna ya kufikia malengo yako, wacha porojo.

Umepanic rudia kunisoma.
 
Mkuu@Bufa nakukubali sana ulimsaidia jamaa mmoja anaitwa DIBAJI ayekuwa ameshida dv lottery.
 
Ndo zangu mkuu, piga miguu yote kama Zizu 😅
Dah nishafeli nilikua nakufatilia sana kaka kwenye issue za madini unazijua sana lengo langu nikipata kihela nikutafute unipe abc za hiyo biashara ili nisije pigwa ikiwezekana tuwe wote kabisa huko chimbo kama ungekubali, dah basi tena. Sema mwamba nakukubali sana kwenye kushare experience mbali mbali hujivungi.
 

Nashukuru sana mkuu. Nipo nje kitambo ila nakuja bongo oftentimes sio kwamba nimesepa hivi Karibuni labda hukujua Hilo.

Reach out anytime kubalishana mawazo ya madini au anything that I can help with.

Bado sijaandika uzi wangu mwenyewe wa sekta ya madini labda nitaandika huko mbeleni kwa kina zaidi ila kuna nyuzi za wadau nyingi zinaingia in details nimeweka comments mbili tatu huko.
 
Sawa mkuu nimekupata, sema ngoja tupambane na sie tuje kwa biden one day kujitafuta zaidi. Passport ipo mchawi visa tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…