Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
- Thread starter
- #41
Mkuu.tumetofautiana usitaka maisha au msoto uliopitia et watu wengine wapitie .huenda nikakosa visa lkn moyo nitamani na Mimi kufikia ulipofikia ww.kumbuka hata family zetu uchumi umetofautiana.kingine nikwambie mheshim kijana yeyote ambaye anandoto za kufanya maendeleo Fulani hvyo anapokuja kukuomba ushauli usimuone boya kumbuka kuna vijana kama yeye ambao wamekosa mawazo hayo ,wengine now wanaiba,vibaka,wahuni,nk
Mkuu unaandika mambo mengi nje ya mada.
Mosi, umesema uliniomba mimi connection nikakutolea nje, una uthibitisho wa hilo?
Pili, a connection is all about helping each other sio nawewe upitie msoto wangu ndo maana nataka kukusaidia.
Ulitaka kwenda nchi gani na kwa njia gani tuanzie hapo. Umesema visa na nauli kwako sio ishu.
Jikite kwenye mada.