Diaspora Hawatoi connection?

Diaspora Hawatoi connection?

Tanzania ujamaa umeharibi watu wa ngazi zote kuanzia wazee hadi vijana wamekuwa hawana uelewa wowote au kuwa generally knowledge tu kuelewa mambo.

Mfano natoa mmoja tu kuna miaka kadha iliyo pita kidogo kuna familia iliuza nyumba ili waende majuu na walifanikiwa kufika sasa siri ya huko walipo wanajua wenyewe.

Ushauri wangu wa bure hakuna maisha mepesi either upo America, Tanzania ,Canada au Europe na maisha haya jawahi kuwa rahisi toka DUNIA imeumbwa hata hao WANASIASA wenyewe hadi wafike huko kuwa wa BUNGE au Ma officer wa Serikali lazima waroge hasa.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nauli inategemea na muda unaosafiri itakua in the 1000USD range.

Utatumia gharama zingine ndogo tu kwaajili ya process za pale ubalozini, pia utahitaji kuwa na mwenyeji wako US ambaye utatumia address yake ili SSN na GC yenyewe vitumwe kwake.

Ukishinda GC umeula mzee inakua rahisi sana. Reach out for more info.
thanks kiongozi amna shida
 
Kwani mimi nilifikaje? Wengine walifikaje?

Mtu hawezi kwenda nje bila mimi au diaspora?

Kama inawezekana kwanini yeye ashindwe?

Una uhakika gani mimi nakula mema ya nchi nje? Sio nyie mnaosema nje ni kugumu?

Tumesaidiana na shuhuda zipo humu humu jukwani, anasaidiwa anayejisaidia na msaada ni hisani sio lazima.
Nishafika na kuishi huko na napafahamu vyema. Bahati nzuri sikuwa intouch sana na wabongo wala wa-western... niliishi sana na waarab na wasomali.

Gothernburg, Sweden na Halifax,Nova scotia (Canada) na Arizona, U.S 😊
 
Nishafika na kuishi huko na napafahamu vyema. Bahati nzuri sikuwa intouch sana na wabongo wala wa-western... niliishi sana na waarab na wasomali.

Gothernburg, Sweden na Halifax,Nova scotia (Canada) na Arizona, U.S 😊

Kumbe kutokuwa in touch na wabongo ni bahati nzuri, basi Kila mtu apambane na Hali yake kelele ziishe.

Kama hamtaki kuwa Karibu hizo connection mnatoaje? In the same breath mnasema wakenya na wanigeria wanashirikiana na kupeana connection, tuelewe nini?
 
Kuna anko wangu kanunua jumba Dar si chini ya milion 150 wiki mbili zimepita na Yuko huko huko state.


Mambo ni mengi tutafute taarifa. Piga SMU hata Nala waulize policy za kutuma pesa kutoka USA to TZ

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bro inawezekana kuna WANDEWA ndani ya clan (Wapigaji) hawaamini ndio maana anakua mzito kutuma mpunga sababu hazimuishi😂🤣🤣🤣 But i will talk to him tuyaweke sawa maana nashangaa mwezi mzima unakwama kutuma dola 80 elfu hata kimafungu mafungu,lazima kuna sababu @ Bufa yupo sahii may be kuna watu hawaamini ndani ya clan,sema anashindwa kutuchana live WANDEWA🤣🤣🤣😂😂
 
Mzee utakua ulikula mirungi sana na al kasusu😂😂🤣🤣
Hahaha! Mirungi mingi ipo Netherlands, ufaransa na Uingereza. Nilishangaa kukuta pipi kifua Netherlands 😳😂😂😂😂

Kumbe wana wanaagizaga kwa watu (ndugu na jamaa wanaokuja kupitia france)
 
Wabongo roho mbaya , acheni hizo ,ndio maana wengine mnakufa vibudu huko ,na mpaka pesa ya kurudishwa mizoga yenu huku mnachangiwa na wananzengo wa tozo nation ,acheni ujinga jifunzeni Kwa diaspora WA nchi nyingine , hizo fursa hamtazimaliza ,wapo waliokuwepo huko ughaibuni kabla yenu , toeni ramani watu waingie mzigoni .
 
Wabongo roho mbaya , acheni hizo ,ndio maana wengine mnakufa vibudu huko ,na mpaka pesa ya kurudishwa mizoga yenu huku mnachangiwa na wananzengo wa tozo nation ,acheni ujinga jifunzeni Kwa diaspora WA nchi nyingine , hizo fursa hamtazimaliza ,wapo waliokuwepo huko ughaibuni kabla yenu , toeni ramani watu waingie mzigoni .

Unataka ramani gani exactly? Hela, kazi, shule, internship, mwenza au? Be specific mujhomba
 
Vipi red light district ulipita pale Amsterdam????Mitaa yangu ile kipindi hiko🤣🤣🤣
Kuna jamaa yetu anaitwa "Jamaloo" ni msomali ndo alikuwa kama tour-guide wetu alitupitisha sehemu nyingi sana! Kuna Restaurant ni ya wajamaica sitasahau nilikula vitu kama slice-cake ile sijui... sijui ni kashata kwakweli hata sielewi vilikuwa vitamu ajabu ila kwenye recipe zake na bangi ndani. Nililala kama pono siku hiyo 😂
 
Bongo kutamu mzee baada ya Bi mkubwa kuchukua kitengo magogoni😂🤣🤣🤣🤣 kidogo kuna ahueni.Nilikua na mpango wa kwenda Chicago kule southside Parkway gardens 6400 blocks (WIIIC City)kwenye zile project now days wanaziita O block nikaanzie aharakati huko ila mwenyeji wangu ambae ni raia wa marekani kanitisha kwa kuniambia ukweli kuhusu gang,s violence eneo analoishi ambalo mimi nitafikia kwake kukaa nikaghairi kwa mda mipango yote mkuu.
Basi msitusumbue huku na connection ***** zenu, endeleeni kula bata tu, Nyie mnawaza kula bata sie tunawaza familia na kizazi chetu miaka 50 ijayo. Tabia zenu hizo za uselfishness kaeni nazo hukohuko.
 
Wabongo roho mbaya , acheni hizo ,ndio maana wengine mnakufa vibudu huko ,na mpaka pesa ya kurudishwa mizoga yenu huku mnachangiwa na wananzengo wa tozo nation ,acheni ujinga jifunzeni Kwa diaspora WA nchi nyingine , hizo fursa hamtazimaliza ,wapo waliokuwepo huko ughaibuni kabla yenu , toeni ramani watu waingie mzigoni .
POVUUU!! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Endelea kumuabudu tu huyo uliyemtag,inaonekana na wewe ni miongoni mwa aliowachota akili kwa story zake zakufikirika za kishirikina,

Msaada haulazimishwi,wala hukuzaliwa ili iwe jukumu la mtu mwingine kukusaidia wewe,vipi kuhusu wewe umesha saidia wangapi mpaka leo?
Safi kabisa umemchana makavu fala huyo
 
Anyways! Hao wote wanaopiga kelele wapewe connection wafunguke wawe wazi wanataka connection ya aina gani?! Sio kupigapiga kelele tu hapa.

Kama vipi potezeaneni kila mtu ashinde mechi zake. Muache kushobokea ndugu na majamaa walio ulaya, Asia na marekani!

Kila mtu apambanie njia zake mwenyewe aruke mtoni kimpango wake.

Ila mkifika kule USWAHILI WENU MUACHE!
 
Back
Top Bottom