Diaspora Hawatoi connection?

Diaspora Hawatoi connection?

I didn't say upo Mwananyamala ila sio sio dhambi kuwa Mwananyamala either. I was replying to you saying niende kwanza SA.
Its okay chief kama umesafiri but policies zinatofautiana kama australia kupata working viza ni mtihani basi sio kwa USA. US ina selection kibao za working visa ukipata wakili mzuri hukozi permit.
 
Mimi nakupa elimu tu ndugu yangu ili utoe ukungu. Alafu wabongo wapo wenye kampuni kubwa kuliko unavyofikiri anyways soma andiko hilo hapo chini ili uijue vizuri EB-3 visa.

I think I mentioned this earlier. Hapo ndo kipengele. Also, zipo limited to 40k tu a yr.
Screenshot_20230710_165958_Chrome.jpg
 
Caregiver unapata papers haraka sana. Chakufanya tafuta wakili ongea na mwajiri wako akudhamini apply EB-3 visa. Unapata na unasebenza mitano tena. Speaking from my own experience.

Sawa. More power to you. Wengine watajifunza na kupata new ideas kupitia wewe.
 
I think I mentioned this earlier. Hapo ndo kipengele. Also, zipo limited to 40k tu a yr.
View attachment 2684009
Ni kweli lakini inategemeana na vacancy bro, na uhitaji wa kada flani au upungufu wa nguvu kazi katika secta flani kuna kazi hazina competition na zinauhitaji katika jamii legal officers wapo watakushauri. Mfano caregiver Kwa US hauhitaji experience ili kuapply EB3 visa. Canada ndio kabsaa mteremko.
 
Ni kweli lakini inategemeana na vacancy bro, na uhitaji wa kada flani au upungufu wa nguvu kazi katika secta flani kuna kazi hazina competition na zinauhitaji katika jamii legal officers wapo watakushauri. Mfano caregiver Kwa US hauhitaji experience ili kuapply EB3 visa. Canada ndio kabsaa mteremko.
naweza apply EB3 nikiwa bongo au paka niwepo nchi husika
 
naweza apply EB3 nikiwa bongo au paka niwepo nchi husika
mambo mengine ni rahisi kufanya ukiwa kiwanja tayari. Bongo ukiaply si utanyimwa viza tu alafu gharama za EB3 zinafika mpaka 2500$ hiyo loss kibongobongo utachanganyikiwa. hiyo interview yenyewe itakuwa ya moto sana. Kwanza utapata wapi sponsor maana mpaka uwe na sponsor ambae ndio muajiri wako akutumie labour certification.
 
mambo mengine ni rahisi kufanya ukiwa kiwanja tayari. Bongo ukiaply si utanyimwa viza tu alafu gharama za EB3 zinafika mpaka 2500$ hiyo loss kibongobongo utachanganyikiwa. hiyo interview yenyewe itakuwa ya moto sana. Kwanza utapata wapi sponsor maana mpaka uwe na sponsor ambae ndio muajiri wako akutumie labour certification.
kweli mzee
 
Connection ya wapi? Watu wenyewe wapo huko klabu hausi usiku kucha wanakoroma kama wapo dozi

Nilikuwa najiuliza wale waliokuwa wanapata wani ya three zamani kwenye zile shule za vipaji maalumu na baadaye wakapotea nchini wako wapi? Sawa klabu hausi imewaibua wanalalama tuu huko hawaeleweki wanaongea nini. Sasa Hawa ndio wanataka uraia pacha?
Wewe uliyeko bongo una cha maana kipi?

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Achana na stori za magengeni watu kama wewe huwa ninawashauri muaanze na safari za karibu kama south africa ili mjue life la bila papers linakuwaje kiwanjani kabla ya kukwea pipa kwenda mbali maana usije ukauza utu wako nchi za watu bwana.
Kama huna papers ni bora ubaki bongo tu maana waliobongo watakupiga bao bila papers huwezi fungua hata bank account, ukiumwa sasa ndio kifo.
Bila papers maisha ulaya, US ni magumu sana. Unajificha ficha. Kazi za kubaingaiza.Muda wowote unaweza kukamatwa na kuwa detained, hata kuwa deported.

Ukiumwa ndio kasheshe.
 
Naye si ni diaspora, una maana naye hatoi connections?
Lema alikuwa mkimbizi!!! Vijana wanapotezwa na maisha wanayoona kwenye sinema lakini uhalisia kwa mfano huko marekani kama huna job utaomba urudishwe kwenu kwani maisha ni magumu sana!! Kuna omba omba kibao na watu wanalala barabarani na chini ya madaraja!!! Ukiwa na akili yako imetulia bila mapepe Bongo tambalale huwezi kufa njaa lakini huko majuu wasikudanganye kule hakuna mjomba!!!
 
Connection ya wapi? Watu wenyewe wapo huko klabu hausi usiku kucha wanakoroma kama wapo dozi

Nilikuwa najiuliza wale waliokuwa wanapata wani ya three zamani kwenye zile shule za vipaji maalumu na baadaye wakapotea nchini wako wapi? Sawa klabu hausi imewaibua wanalalama tuu huko hawaeleweki wanaongea nini. Sasa Hawa ndio wanataka uraia pacha?
We uko bongo unaishi mabwepande unaona umetusua life.


Wabongo nuksi sana pumbavu
 
Mm sjataka tunkwenda nje .kila kitu kiko mtandaon tu skuiz.eti uende ulaya ufikie kwa mtu .unadhani kasulu
 
Wana group lao kama vp nimupatieni namba ya wasapu🙂🙂😉
 
Naandika huu uzi baada ya kusoma na kusikia mara kadhaa kwamba diaspora wabongo hawatoi connection za kwenda nje compared to diaspora wa nchi kama Kenya, Nigeria nk. Mimi kama diaspora napinga hii notion vikali.

Hapa JF Kuna nyuzi zaidi ya 100 zinazojadili jinsi ya kwenda nje, a quick search mtu unapata majibu yote na bado watu tunachangia nyuzi kila leo. Mnataka connection gani zaidi?

EBM anatoa free knowledge on YouTube na bloggers wengine jinsi ya kwenda nje, hiyo sio connection? Tuwape bundle za kuingia youtube au?

Mimi binafsi nimeshirikiana na watu kadhaa toka kwenye forum hii hii toka walipoanza harakati zao za kwenda nje na sasa wapo mbele needless to say walifanya sehemu zao na mambo yao yakafanikiwa. Sasa urafiki umekua undugu. Tatizo ndugu zangu wamatumbi mnapotaka connection mnataka hao diaspora wawape hadi hela na passport wawatafutie. You have to play your part as well.

Kimsingi kwenda nje is as easy as ABC. Kupata connection ni vizuri but isn't everything. Mimi nilienda bila connection yeyote ile, maelezo yote yapo kwenye websites za nchi husika ila ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako pia, kuna watu wanadhani diaspora wana a magic code ya kwenda nje this couldn't be further from the truth. Ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako.

Wabongo wenzangu punguzeni kulalamika kiboya, JF Kuna more than 100 threads, YouTube ipo, website za nchi husika zipo, tunajitoa as much as we can but we can only do so much. Maisha yako ni jukumu lako, kusaidiana kupo ila sio wajibu.

Nipo around mazee.



Mkuu kwa mfano mimi nakualika wewe kama nani yangu au kwenye function gani?

Nadhani wengi mnadhani mualiko wowote tu unatosha kupewa visa ila hamjui ni lazima muwe na ukaribu na huyo mtu na wewe as a visitor uonyeshe upo well established nyumbani na utarudi ili upewe visa kigezo ambacho vijana wengi hawana maana ndo wanatafuta maisha. Kama haupo vizuri bongo kwa maana ya a stable job au business, assets, ndoa, watoto, na hela visa ya kutembea kwa mualiko ni mtihani.

Niseme tu diapora wanatumia internet hii hii kutafuta hizo internships na kazi mnazotaka wawajulishe sio kwamba wanaenda kwenye hizo organizations in person. Wewe muhitaji ni bora kuwekeza nguvu nyingi kuzitafuta hizo nafasi, ukikpata ndo mshauriane na mtu wako wa karibu aliyeko huko. Hao diaspora wana majukumu mengine hawawezi kuacha majukumu yao na kushinda online siku nzima kukutafutia internships na kazi. Tujiongeze hapa tuache uzembe na lawama za reja reja.

Hakuna mtu anaogopa kuwapa muongozo ila you're asking way too much hata kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wenu. Mimi sina muda wa kumtafutia mtu chuo, passport au internship huo muda sina kabisa Ila akipata nitamsaidia all the way through ndo maana nilisema lazima ucheze part yako as well hakuna mtu ataacha majukumu yake kukusaidia wewe kila kitu.



Hifadhi, kazi, viza ya muda mrefu ni hadi ufike nchi husika. You will cross that bridge when you get to it. Step 1 ni kupata visa ya kwenda, kama huna uhakika wa visa ya kwenda kwanini uanzie kuumiza kichwa kwa mambo ya mbele?

Ukifika swala la visa ya muda mrefu ni kupewa the right information tu actions zote ni juu yako. Diaspora hawatoi visa au work permit wao, hakuna sababu ya kunyimwa information.

Kuhusu hifadhi sijawahi kusikia mtu kafika kakosa hifadhi, watu wanafika kila siku wanapewa hifadhi na watu baki kabisa na maisha yanaendelea.

Hizi lawama zenu hazina msingi wowote ni lazima ujisaidie kwanza ili usaidiwe. Hii mentality ya kwamba diaspora watakufanyia kila kitu ni ujinga.
Mkuu

Kwanza wabongo pale Airport wana roho mbaya, niliweka uzi hapa kuna vijana walipata Visa, Airline waliwanyima tickets na sababu wanasema eti wakienda nje hawatarudi Tanzania, hivi wao inahusiana na nini kama shirika?

Tumepiga simu KLM nchini UK na kuwapa report na wanafanya uchunguzi, sijui kama watachukua hatua. Vikwazo ni vingi sana vya kusafiri, pamoja na ugumu wa visa, mo naona visa sio ngumu kama ugumu wa kutoka nje ya TZ ,yaani Airport vikwazo. Utaombwa rushwa mpaka, au hutoki.


Mchongo wa Visa.

Kuna Visa za kazi German, UK na Canada.

Angalia YouTube jinsi ya kufanya maombi. UK wanataka watu kwa wingi kama care workers, Nurses and Doctors katima wizara ya Afya.

Pia Engineers na sasa kuna labours imewekwa kwenye list.

Wakati wa maombi watahitaji code ambayo utaweka kwenye Application, code hii kutoka kwa sponsor, pia watataka bank statements uwe na at least £1200 . Pia upass English test . Kama unataka kuomba kazi ya care , italazimika uwoneshe cheti cha mafunzo, course ya care wanatoa red cross hapo Dar es salaam, unafanya kwa 3 weeks. Cheti utaambatanisha pamoja na CV.
Utahitajika ufanye checking ya TB , wana kituo chao hapo Dar es salaam.
Application fee sijui kiasi gani.

Visa route ni 3 years to 5 years, ukipata 5 years route , unaweza kuchukua your independent (Family) Baada ya 5 years unaomba permanent residence then citizenship.

Good luck
 
Back
Top Bottom