Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
Unaweza kuingia sehemu ambazo ngozi nyeusi ni ngeni na kuna makundi ya wanaume wa kule ambao wanaweza kuchukia kukuona na mwanamke wa kizungu, ukiwa na company ya mwanaume wa Kirusi, huwa inawafanya wapoe sana maana huwa kuna hali fulani ya kuheshimiana.Mkuu kampani ya huyu wa kiume inakua na msaada gani mkiwa huko kijijini?
Itabid tuje kukuchukua airport... NduguNitarudi na mizawadi siyo vizawadi moja kati ya hiyo mizawadi basi itakuwa ni yako.
Utanikumbusha ili nisisahau.
Nasikiaga warusi ni wabaguzi sana ni kweli?
Pombe sio Fanta.. He should be....Tatizo ujaspecify upo Moscow ipi jamani mji mkubwa huo ! Be careful with alcohol nigga.
teh teh.....Mi nilidhani upo Kinondoni Moscow...!!
😀😀😀😀😀 hatari sanaUnarudi lini ili nije airport nkupokee na maua mkononi
Kunywa maji mwananguHuyu hapa ataliwa kichwa muda mfupi ujao! Lol,
Sema hata uliwahi kuwa LOCOMOTIV uki refer timu ya locomotiv moscowNgoja na Mimi nitafute mji mmoja wa huko kupitia Google nijigambe
haha sawa sawa huenda na mimi nikaufunga mwaka vizuriiSema hata uliwahi kuwa LOCOMOTIV uki refer timu ya locomotiv moscow
haha sawa sawa huenda na mimi nikaufunga mwaka vizuriiSema hata uliwahi kuwa LOCOMOTIV uki refer timu ya locomotiv moscow
Huyo unapomtaja, namuona kama nini sijui. Ile pombe ni hatari aisee, no wonder Warusi huwa wanainywa na vitafunwa. Unaweza ukasepa unajiona.bwana mkubwa mie sikufahamu vizuri ila naomba zawadi yako hasa yule Vladimir vodka nadhani atanifaa sana
Mkuu wewe itabidi ujigambie KharkivNgoja na Mimi nitafute mji mmoja wa huko kupitia Google nijigambe
Tupe mrejesho mkuuWasalaam wapendwa!
Heading ya mada inajieleza vizuri hivi majuzi nilisafiri kidogo kuelekea Urusi nikafikia hapa jiji la Moscow sasa ugeni umenizidi huku natafuta hawa ndugu zetu diaspora walioko hapa Moscow tafadhari usomapo hii mada fanya tutafutane sisi ni Watanzania tukiwa foreign land sote ni ndugu.
Mje mnikaribishe na mnipe kampani yenu hapa ukiwa wa kiume ni vizuri na kama wewe ni wa kike ni vizuri pia.
Nimebeba na vijizawadi kidogo kutoka kwetu nyumbani Tanzania hivi ni kwa ajili yenu ndugu.
Karibuni sana.