Diaspora: Nani yupo Moscow tuonane nipate kampani

Diaspora: Nani yupo Moscow tuonane nipate kampani

Mkuu kampani ya huyu wa kiume inakua na msaada gani mkiwa huko kijijini?
Unaweza kuingia sehemu ambazo ngozi nyeusi ni ngeni na kuna makundi ya wanaume wa kule ambao wanaweza kuchukia kukuona na mwanamke wa kizungu, ukiwa na company ya mwanaume wa Kirusi, huwa inawafanya wapoe sana maana huwa kuna hali fulani ya kuheshimiana.
 
bwana mkubwa mie sikufahamu vizuri ila naomba zawadi yako hasa yule Vladimir vodka nadhani atanifaa sana
 
bwana mkubwa mie sikufahamu vizuri ila naomba zawadi yako hasa yule Vladimir vodka nadhani atanifaa sana
Huyo unapomtaja, namuona kama nini sijui. Ile pombe ni hatari aisee, no wonder Warusi huwa wanainywa na vitafunwa. Unaweza ukasepa unajiona.
 
Wasalaam wapendwa!

Heading ya mada inajieleza vizuri hivi majuzi nilisafiri kidogo kuelekea Urusi nikafikia hapa jiji la Moscow sasa ugeni umenizidi huku natafuta hawa ndugu zetu diaspora walioko hapa Moscow tafadhari usomapo hii mada fanya tutafutane sisi ni Watanzania tukiwa foreign land sote ni ndugu.

Mje mnikaribishe na mnipe kampani yenu hapa ukiwa wa kiume ni vizuri na kama wewe ni wa kike ni vizuri pia.

Nimebeba na vijizawadi kidogo kutoka kwetu nyumbani Tanzania hivi ni kwa ajili yenu ndugu.

Karibuni sana.
Tupe mrejesho mkuu

Unaendeleaje huko?
vp umepata mwenyeji mswahili au bado
 
Back
Top Bottom