and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Aug 16, 2024 Thread starter #321 Angalau awamu hii tunaheshimika
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Aug 16, 2024 #322 Michewen said: View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 hapa Ubalozini (Washington DC) hatupati ushirikiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo nn Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka. UPDATE: Tumeanza kumtanguliza Miss Tanzania USA aje aangalie fursa ya sisi kuja kuwekeza nyumbani. Mpeni Ushirikiano. Click to expand... Uko USA halafu unataka kufanya kazi ubalozi wa Tanzania?
Michewen said: View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 hapa Ubalozini (Washington DC) hatupati ushirikiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo nn Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka. UPDATE: Tumeanza kumtanguliza Miss Tanzania USA aje aangalie fursa ya sisi kuja kuwekeza nyumbani. Mpeni Ushirikiano. Click to expand... Uko USA halafu unataka kufanya kazi ubalozi wa Tanzania?
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jan 25, 2025 #323 Maghayo said: je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa Click to expand... Labda uwe Chawa wa Wasira
Maghayo said: je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa Click to expand... Labda uwe Chawa wa Wasira