Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #81
Ni kweli, niko huku nimeshuhudia.Akili za kimaskini hizi za kudharau kazi, hao unaowaita waosha wazee wana mishahara mikubwa kuliko mawaziri wa bongo na quality ya life yao ni ya juu kuliko 99% ya wabongo back home
P