Diaspora wa U.S.A wanaonekana maisha yamewapiga japo wanaishi U.S.A kwenye katiba bora duniani, nadhani si Kila jambo ni katiba

Yuko marekani wizi unamuathiri vipi? Ulofa wake usitusumbue
Atarudi baada ya Mei mosi,ni aibu Sana kukaa ugenini mwezi unadharaulika,haijawahi tokea hii duniani.
 

Hapana Msidanganyike. Wanawake kote wana muda na muonekano wao. Hata wasafisha vyoo wanakwenda na magari yao na nguo za kazi pembeni. Wanabadilsha then wakimaliza wanaulamba.

Sijui mazingira ya huyo mama. Ila nachoweza Ona ni kuwa kama mtu Ana hela na shughuli zake nyingi, asilimia 90 hangeweza kutokea Hapo na kuandamana. Ona idadi. but always there is an exception to what can be seen as normal.
 
Huyu mama atakuwa teja au stripper mstaafu
 
Hiyo T-shirt haiwakilishi maisha ya mvaaji,ikiwa hivyo ilivyo imebeba ujumbe mzito sana.Hakuna mahala imeandikwa Katiba mpya.
Hivi kwa nini CCM mnaoenda kulazimisha tukate tamaa ya kudai Katiba Mpya ya JMT kwa kutuambia udhaifu wa mataifa mengine?Ikiwa kwa mfano Tunisia,Libya,Botswana,Zimbabwe au taiga lingine lina katiba nzuri au mbaya ndiyo sisi tusidai Katiba yetu?Why compare ourselves with failures?
 
inaonekana kazeekea.
Kwani kuzeeka Kuna ubaya gani. Matajiri hawazeeki??. Halafu nchi zawenzetu nguo kwao sio kipaombele nandio maana hata ukiona sweta analovaa bill get kwa akili za ngozi nyeusi unaweza ukamdharau kumbe kwao nguo sio sehemu ya ulimbukeni, nandio maana hata wazungu wakija bongo nguo zao za kawaida Sana ila wewe huna pesa huna chakula unajambajamba tu
 
Hivi madplomat hawawezi kukuluka na li box limoja limoja japo siku za weekend ama hawaruhusiwi
 
Lakini anaongea slang ya kufa mtu ,we unaweza?
 
Muonekano tu wa mtu mkuu,kuna watu wagumu sana kubadilika,hebu mtazame Lilwayne,fanya tu hana huo umaarufu,si atapitwa na wabongo wengi tu wa uswahilini...
 
Naona unajipa moyo.....hiyo style ya kutojali mavazi ni ya wazungu tu ambao wanaangalia kama yupo comfortable au la! ila waafrika tamaduni zetu ni za kujali unachovaa,fashion,styles etc
 
Kwahiyo Kila umwonaye amevaa ovyo ni masikini? Usalama wote wanavaa vizuri? So ukiona bilionea ameenda kwa mama ntilie akaagiza chai ya rangi na kitumbua utasema kafilisika?
 
Bora aneishi kwa kupigika Marekani lakini anatafuta kwa mkono wake, kuliko wewe unaeshi kwa mapambio na ili upate kula yako kwa mgongo wa ukandamizaji


KATIBA MPYA ITAKUKA TU kumefuka tayari lazima utawaka
 
Unaijua lifestyle ya watu wanaokaa huko na mavazi yao yalivyo........hao watu kuvaa smart sijui mkanda nje na suti siyo priority yao. Wewe kisa hujawahi kutoka hapa tandale unafikiri lifestyle za watu zinafanana kote duniani......
Jamaa sijapenda alivyo mkashifu huyu mam wa watu wakt yeye binafs hajawai hata kufika Kenya tu mpumbafu sna hyu kjn anajiona kapata kisa kanunua k ist
 

Yaani yote hayo umeamua kwa kuangalia picha tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…