Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

Kule kwa RC ku creates TV contents, ni yeye kujiongeza, he has always been doing that, na hata sasa hapo Chuga tayari amejiongeza
Amecreate Soon atarushwa hewani.

Ukisubiri Media ndio wakucretie, utasubiri sana
P
RC alivamia studio akalazimisha kuingilia kazi za watu. Acha kuzunguka mbuyu kaka mkubwa.
 
You are boring me.
 
Paskal mimi siyo mgeni humu ndani.
 
Tz hii hii ambayo hata kupewa passport wanaona kama vile wanakusaidia sana haijalishi una kila nyaraka. Yani sijawahi kuelewa kwanini eti ukipata safari ndo ukaombe passport.
 
Pascal Mayalla uko ziara binafsi au ndio kwenye harakati za ppr kufungua ofisi USA?

Huenda ukawa na lengo zuri lakini namna ulivyolileta inatupa ukakasi. Shida kubwa mara zote imekua upande wa serikali yetu, wao ndio wanatakiwa watoe boriti Kisha mambo ya kibanzi yatafuatia kwenye hili la Diaspora wa Tanzania waishio Marekani.

Hao jirani zetu unaowatolea mfano wamefika hapo kwa vile serikali Yao ipo bega Kwa bega na wao.
 
Nilishajiondokea Tanzania imekuwa muda kidogo Sasa, nilipata kazi Czech Republic. I'm now enjoying my life to the fullest na sipo interested kurudi home kabisa. I'm now experiencing the difference
Kwanza hongera, pili lengo la maisha ni kuyapatia na kuyawezea, maisha popote.

Ila kuna two types of life,
1. Living for yourself, 2. Living for others.

Wale waoishi for themselves, wanajijali wao tuu na familia zao, wakifanikiwa ni wao, waki fail ni wao, hapo unaweza kuta wewe uko vizuri sana, ila ndugu zako na jamaa zako kijijini kwenu, lives in stinken object poverty, yaani umasikini
uliotopea, and yet, unajisikia raha. Hawa kupiga picha za show off ma G-Wagon na ma Tesla makes them happy.

Wengine, they live for others, wakifanikiwa, wanaita ndugu zao, jamaa na marafiki, halafu wale ambao they made it big, wanakumbuka kwao, asili yao, nchini kwao, kijijini kwao and make it a different!. Hawa kitendo cha kusaidia wengine kwao is more gratifying than kuonekana wana nini.

TAK inawatarget zaidi wale
Type 2, huku tukiwaheshimu type 1 kwa kutoingilia their right to privacy.
P
 
Mkuu, Nimefurahi kuona type 1 unawaheshimu pia.
Unajua nini, maisha Yana mambo mengi sana. Sometimes people decice to be how they are because of what happened to them. People around you can influence you to choose how to be.

Mapitio yangu ndio sababu ya kuona niishi maisha yangu tu. Unaweza kuwa unateseka kwenye jamii ambayo watu wanaishia kukusimanga na kukunyanyapaa ingali kuwa unajua wanaweza kabusa kukusaidia kulinusuru na hali Yako lakini haiwi hivyo.

Unaamua kuondoka au kupambana kwa nguvu zako, juhudi na maarifa Yako, unapata bahati ya kufanikiwa then from nowhere mtesi wangu ajitie kunifahamu. Never, can't do so. Kusaidia ni willing yangu na kuchagua namna ya kuishi pia ni juu yangu, iweje mtu awe na malalamiko eti nimefanikiwa na sisaidii au awe shocked na mfumo wangu wa maisha?

That's all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…