Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaambiwa wewe ni haterAna miaka yake 31? Ameafanya kazi ya kufunga muzik wa magari kwa zaidi ya miaka 20?? Maji kauza lini?? Acheni kutoa sifa zilizopitiliza mpk mnadanganya. Apewwe tu hongera katusua mengine mwachieni mwenyewe
Maelezo yako mkuu naona ndio yamekaa vizuri...Wewe dick humjuwi,,wacha kudanganya watu.
Huyo alianzia ufundi radio na tv miaka ya 95,hayo maji kauza lini?
Shughuli zake alifanyia mtaa wa kibesa magomeni mwembe chai,, kaulize taarifa zake.
Huyo jamaa ana umri zaidi ya miaka 45.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] swal la msingiAna miaka yake 31? Ameafanya kazi ya kufunga muzik wa magari kwa zaidi ya miaka 20?? Maji kauza lini?? Acheni kutoa sifa zilizopitiliza mpk mnadanganya. Apewwe tu hongera katusua mengine mwachieni mwenyewe
Rolls royce ya Ali Kiba imeiona ?Bila picha ya nyumba na magari habari inakuwa Kama udaku
Namfaham vzr Sana.Maelezo yako mkuu naona ndio yamekaa vizuri...
NakaziaBila picha ya nyumba na magari habari inakuwa Kama udaku
kapeleka huu uzi kwa Boss Dick kumuonyesha anavyomsifia, kavuta mtonyo wake wa kula, yake yanamuendea. Nyia chambueni miaka tu😂Naunga hoja jamaa linasifia hadi linavuka mstari
Ndio siri ya vijana wengi kupakwa KY Jerry siku hizi.Uchawa kipaji
Hehehehehee kuna mmoja kaleta uzi humu amekoswa koswa..hahahahahaNdio siri ya vijana wengi kupakwa KY Jerry siku hizi.
Yani wanasifia kuliko matagaAna miaka yake 31? Ameafanya kazi ya kufunga muzik wa magari kwa zaidi ya miaka 20?? Maji kauza lini?? Acheni kutoa sifa zilizopitiliza mpk mnadanganya. Apewwe tu hongera katusua mengine mwachieni mwenyewe
Hahaha
Ova