HahahaMkuu kwa data za mjini hapa watu na vichochoro vyake upo vzr .
Umewahi kutoa details za watu kadhaa ninaowafahamu uzuri na you were spot on.
Hahaha
Siku hizi nimenyuti kdg maana ukitoa sana data
Pm huko huwa ni shida
Ova
Kamwili kadogo dogo na kunyoa ndevu muda wote kunamdanganya.Wewe dick humjuwi,,wacha kudanganya watu.
Huyo alianzia ufundi radio na tv miaka ya 95,hayo maji kauza lini?
Shughuli zake alifanyia mtaa wa kibesa magomeni mwembe chai,, kaulize taarifa zake.
Huyo jamaa ana umri zaidi ya miaka 45.
Kamwili kadogo dogo na kunyoa ndevu muda wote kunamdanganya.
Hata huo utajiri aliomtangazia hapa hana angekuwa na uwezo huo ile nyumba anayofanyia kazi angeinunua maana kama sasa hivi imebomolewa paa upande mmoja sijui kimetokea nini pale.na soko lake pale magomeni limevamiwa amezungukwa na mafundi chungu mbovu sasa hivi wateja ni wakugombania.
Mgeni wa kushika pesa hata million 10 hajawahi kushika ukimkuta ana-spell mill350 sijui 850 anaona rahisi sana mwambie akae chini apige hesabu za kusadikika abuni kazi yoyote hata kama ya uwongo anayoona yeye itampa faida ya hizo pesa anazoandika kwa tarakimu hapa uone kama jasho halikumtoka,hata kwa kuiba hazipati kwa dunia ya sasa but mtu anakuja kusifia mtu amefunga radio na alarm kwenye magari akamiliki mali za billion!Umeongea ukweli ,Jamaa ana pesa ya kula tu ,kuwa na gari au nyumba ni kawaida kwake kwa kazi anayofanya...ila hana nyumba hiyo ya 350M au Magari ya 850M.
Atakuwa na nyumba hizi zetu za 30m-50m na vigari vyetu hivi vya 20m -30m.
Dick Sound hawezi kuwa na utajiri huo unaozungumzia.
UZI HUU UMEJIANDIKIA MWENYEWE, SI USUBIRI SIFA UTAPEWA TUNimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Dicki sounds ni kijeba mkuu.. hayupo kwenye vijana wadogo.Kamwili kadogo dogo na kunyoa ndevu muda wote kunamdanganya.
Hata huo utajiri aliomtangazia hapa hana angekuwa na uwezo huo ile nyumba anayofanyia kazi angeinunua maana kama sasa hivi imebomolewa paa upande mmoja sijui kimetokea nini pale.na soko lake pale magomeni limevamiwa amezungukwa na mafundi chungu mbovu sasa hivi wateja ni wakugombania.
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Wanadhani utajiri Ni matako kila mtu anayo.Umeongea ukweli ,Jamaa ana pesa ya kula tu ,kuwa na gari au nyumba ni kawaida kwake kwa kazi anayofanya...ila hana nyumba hiyo ya 350M au Magari ya 850M.
Atakuwa na nyumba hizi zetu za 30m-50m na vigari vyetu hivi vya 20m -30m.
Dick Sound hawezi kuwa na utajiri huo unaozungumzia.
Naona alijiongeza na kuanza kuuza ma rim ya kichina pale kwake.Mgeni wa kushika pesa hata million 10 hajawahi kushika ukimkuta ana-spell mill350 sijui 850 anaona rahisi sana mwambie akae chini apige hesabu za kusadikika abuni kazi yoyote hata kama ya uwongo anayoona yeye itampa faida ya hizo pesa anazoandika kwa tarakimu hapa uone kama jasho halikumtoka,hata kwa kuiba hazipati kwa dunia ya sasa but mtu anakuja kusifia mtu amefunga radio akamiliki mali za billion!
Dick alikuwa na miaka ya neema 2012 to 2017 but wale wale aliowapa ujuzi akaja kukuta ndo wapinzani wake pale magomeni changanya Magufuli kubana pesa so kukawa hamna tena mtu wa kufunga music wa gari wa mill 2 akabaki kufunga funga alarms tu na kuokota wasanii kwa sababu ya jina alishalitengeneza zamani,huu uzi ungekuja miaka hiyo niliyoitaja hapo juu inge-make sense maana miaka hiyo haikuwa ajabu kukuta zimepak gari kwa foleni kusubiri huduma japo asingekuwa na utajiri uliotajwa hapa.
Noma sana! Vijana wengi wamejikita kwenye kiwanda cha uchawa.Ndio siri ya vijana wengi kupakwa KY Jerry siku hizi.
Wanamzidishia sifuri tuUmeongea ukweli ,Jamaa ana pesa ya kula tu ,kuwa na gari au nyumba ni kawaida kwake kwa kazi anayofanya...ila hana nyumba hiyo ya 350M au Magari ya 850M.
Atakuwa na nyumba hizi zetu za 30m-50m na vigari vyetu hivi vya 20m -30m.
Dick Sound hawezi kuwa na utajiri huo unaozungumzia.
Shusha classified info huyu mwamba role model wake ni mjanjamjanja tu wa townNdy hivyo mkuu😂😂
Ova