Tatizo humu sio wajinga miaka 31 amedanganya pumbavu zakeWatu hawataki kukubali jamaa ashatusua "
Mleta mada hii ndio hali halisi ya watanzania,,, ukiwa nacho unapondwa usipokuwa nacho pia unapondwa ....
Amefanya hiyo kazi Kwa miaka zaidi ya 20 na yeye ana miaka 31🤔Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Halufu ya ushirikina?Kumbukeni kuwa huyo Dick ni mtu wa Iringa
Wapo walioanza kabla yake mbona hawajatoboaHalufu ya ushirikina?
Na hawatokaa watobowe ng'oo, hapa mjini si kila ofisi unayoiona ndio source of income ya muhusika.Wapo walioanza kabla yake mbona hawajatoboa
Sijaona chuki kweny hiyo komenti yake, ila ameuliza maswali ambayo hata mimi nimejiulizadont hate penye sifa sifia
huo ni mtazamo wako wangu nimeona hivyoSijaona chuki kweny hiyo komenti yake, ila ameuliza maswali ambayo hata mimi nimejiuliza
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Kutoa rim org iliyokuja na Gari kutoka Japan/UK halafu nikaweka jiko la mchina kutoka kwa dick siwezi aisee.
Ila wamasai hapa mjini hawajawahi kuisha.
Gud qnAna miaka yake 31? Ameafanya kazi ya kufunga muzik wa magari kwa zaidi ya miaka 20?? Maji kauza lini?? Acheni kutoa sifa zilizopitiliza mpk mnadanganya. Apewwe tu hongera katusua mengine mwachieni mwenyewe
Ana miaka 31, kafanya Kazi zaidi ya miaka 20.Watu hawataki kukubali jamaa ashatusua "
Mleta mada hii ndio hali halisi ya watanzania,,, ukiwa nacho unapondwa usipokuwa nacho pia unapondwa ....
Usisahau pia Magomeni ndio makao makuu ya wauzaji na wasafirishaji wa dawa za kulevya Tanzania.
Huyo sasa ndy mwamba alikuwa anafunga mizikiWapi Nicas Mainda?
Alinifungia muziki mwaka 2008 kile kinu husikii nje kabisa Ila nikifungua mlango au mtu akiingia ndani ya gari ndio alikuwa anaelewa Watts zilizomo mle ndani.Huyo sasa ndy mwamba alikuwa anafunga miziki
Hawa wa sahv wote mbwembwe tu
Nikas yupo sema ka lay low anapiga mishe zingine mdg mdg
Ova
Nikas alikuwa anajuwaAlinifungia muziki mwaka 2008 kile mini husikii nje kabisa Ila nikifungua mlango au mtu akiingia ndani ya gari ndio alikuwa anaelewa Watts zilizomo mle ndani.
Jamaa bonge la sound technician Yuko Safi sana, naona ameona hiyo biashara wamevamia madogo na bidhaa za kichina haimlipi.
Zamani Kama hauna kuanzia milioni na nusu hupati kinu Cha ukweli, .sasa imagine 1.5 ya 2008 kwa sasa ni bei gani maana by that time hata Dola moja ilikuwa 980.