Nani huyo wengine hatujaangalia mboni show.
Achana nae huyu anatuletea habari za wafunga miziki/reams za kwenye magari huku.
Huku tunataka celebrities tu.
Achana nae huyu anatuletea habari za wafunga miziki/reams za kwenye magari huku.
Huku tunataka celebrities tu.
Achana nae huyu anatuletea habari za wafunga miziki/reams za kwenye magari huku.
Huku tunataka celebrities tu.
Dah hvi ww mdada jukwaa gan sinakuona humu jf....unalalaga kweli?
Alaa kaingia chaka huku sio sehemu yake.
Angepeleka kwa wajasiria mali huko ingeleta maana.
Yanakuhusu? Na bado utaniona sana maana bundle kila mwezi nina unlimited, pole sana na mb 8 zako.
Halafu habari haieleweki ajazie jazie hata kidogo.
Hahaaa jibu zuri kuna watu hawafanyi yao kazi kufutilia wengine jf.
Teh TehAchana nae huyu anatuletea habari za wafunga miziki/reams za kwenye magari huku.
Huku tunataka celebrities tu.