kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 789
Aisee huyu jamaa nilikuwa nafutilia historical back ground yake ingawa alikuwa anajiuma uma kwa ku loose confidance dhidi ya ugeni wa kuongea kwenye media.
Ila kama ni kweli alichokuwa anakiongea kwenye The Mboni Show, anastahili pongezi kwa kweli kwa hatua alizofikia, Mungu amjalie zaidi.
Keep it up dogo.
Ila kama ni kweli alichokuwa anakiongea kwenye The Mboni Show, anastahili pongezi kwa kweli kwa hatua alizofikia, Mungu amjalie zaidi.
Keep it up dogo.

