demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nimemtazama sana P.O SAKHO akicheza soka katika mazingira tofauti tofauti hapa Tanzania.
Na pia nimekuwa nikimfuatilia Ambundo tangu akiwa Gor Mahia na Dodoma FC.
Hawa ni washambuliaji wa pembeni ambao wanatofautiana pakubwa sana.
Mmoja ana sifa ya adoptability kuliko mwengine. Yaani anaweza kucheza mpira katika mazingira tofauti tofauti yawe ya mvua, manundu manundu au kwenye kapeti na akakuhakikishia ushindi.
Mwingine uwezo wake anauonyesha vyema katika kapeti zaidi.
Mwingine haogopi kumfuata adui na kumchopoka ila mwingine ana pendelea zaidi kukokota mipira diagonally pale anapokabwa.
Mwingine hatengenezi nafasi za kutosha ila akipata nafasi ana uwezo wa kuitumia kiufanisi. Ila mwingine amejaa umachachari tu.
Mwingine anapokuwa kwenye situation ya 1 v1 yuko predictable sana ndio maan ani rahisi kum-contain ila mwingine ni versatile na hivyo sio rahisi kwa walinzi kujua nini atafanya anapokiwa 1v1.
Kwa upande wangu .....Nitamchagua Ambundo na kumuweka Benchi Sakho.
Na pia nimekuwa nikimfuatilia Ambundo tangu akiwa Gor Mahia na Dodoma FC.
Hawa ni washambuliaji wa pembeni ambao wanatofautiana pakubwa sana.
Mmoja ana sifa ya adoptability kuliko mwengine. Yaani anaweza kucheza mpira katika mazingira tofauti tofauti yawe ya mvua, manundu manundu au kwenye kapeti na akakuhakikishia ushindi.
Mwingine uwezo wake anauonyesha vyema katika kapeti zaidi.
Mwingine haogopi kumfuata adui na kumchopoka ila mwingine ana pendelea zaidi kukokota mipira diagonally pale anapokabwa.
Mwingine hatengenezi nafasi za kutosha ila akipata nafasi ana uwezo wa kuitumia kiufanisi. Ila mwingine amejaa umachachari tu.
Mwingine anapokuwa kwenye situation ya 1 v1 yuko predictable sana ndio maan ani rahisi kum-contain ila mwingine ni versatile na hivyo sio rahisi kwa walinzi kujua nini atafanya anapokiwa 1v1.
Kwa upande wangu .....Nitamchagua Ambundo na kumuweka Benchi Sakho.