Dictator Museveni must go!

Dictator Museveni must go!

Kila dikteta ana mwisho wake, ni suala la muda tu, hakuna anayeishi milele hata kama yeye anataka kuishi milele.

Vile vile kila mfumo kandamizi una mwisho wake, ni suala la watu kuamua tu huo mwisho uwe lini pale uvumilivu utakapokuwa umefika kikomo.

Yanaweza kuja kutokea mabadiliko ambayo hayajawahi kutokea pengine popote pale duniani, ulimwengu wote ukashangaa. Kobe akikaa kimya anatunga sheria, watanzania sio wajinga
 
kuna 'udikteta' wenye manufaa na udikteta njaa/uzuzu/uchwara/uboya!
 
Kwamba media zote za Afrika sasa zinaripoti kuwa Buganda kuna udikteta na kwamba Mu7 ni dikteta nguli?

Lakini Dikteta Mu7 anayelaumiwa sana kimataifa hajazuia watu kutoa maoni yao kupitia forum mbalimbali. Tumeshuhudia suala la Bobi Wine watu wakimshutumu dikteta huyo na wengine hata kumtukana matusi ya nguoni na akawaacha. Lakini kuna nchi za kidemokrasia ukimkosoa "mfalme" unashughulikiwa, na hata ukiandika mitandaoni unakamatwa kwa sheria ya mitandao. Bila shaka Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 mikutano ya kisiasa inaruhusiwa bila vikwazo lakini kuna nchi za kidemokrasia mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku kwa agizo la mtu mmoja. Mtu huyo chama chake kipo huru kufanya mikutano lakini vyama vingine vimezuiwa. Na mkijaribu kufanya mikutamo diffender zinawazoa kama mizoga au mnatawanywa kama mbwa koko. Hakika Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 kesi ya Bobi Wine imerushwa live kupitia vituo mbalimbali vya televisheni. Majaji hawana wasiwasi kurushwa live wakisikiliza kesi na kusoma hukumu kwa sababu wanaongozwa na sheria. Lakini kuna nchi za kidemokrasia kesi za viongozi wa upinzani zinaendeshwa kwa siri kama kesi za uhaini. Mahakimu na Majaji wako "biased" kwa sababu ya kupokea maagizo kutoka juu. Hawaangalii sheria inataka nini, bali anayewapa maagizo anataka nini. Bado hamuamini Mu7 ni dikteta?

Huko kwa dikteta Mu7 askari aliyempiga mwandishi amefukuzwa kazi, na kushtakiwa, huku jeshi la polisi la nchi hiyo likiomba radhi. Nchi za kidemokrasia askari waliua binti asiye na hatia kwa kumpiga risasi kichwani, baada ya muda wakampiga mwandishi kipigo cha mbwa koko. Polisi hao wauaji hawakuchukuliwa hatua zozote. Wakaachwa kuendelea na kazi. Wala jeshi la polisi halikuona sababu ya kuomba radhi. Kwani mtafanya nini wakati Mu7 ndiye dikteta?

Kwa dikteta Mu7 vyombo vya habari vipo huru kurusha maudhui yoyote wayatakayo, lakini nchi za kidemokrasia vituo vyote vya TV vimeondolewa kwenye ving'amuzi na taifa zima linalazimishwa kutizama taarifa ya habari ya televisheni ya taifa ambayo imegeuka kitengo cha propaganda cha chama tawala. Sishangai kwanini Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hakuna maiti zinazookotwa hovyo mtaani, lakini kwenye nchi za kidemokrasia maiti zinaokotwa kiholela ufukweni zikiwa na majeraha, na inaonekana ni jambo la kawaida tu. Serikali haichukui hatua zozote na mkiwasumbua sana wanasema ni wahamiaji haramu. Yani kana kwamba imehalalishwa wahamiaji haramu kuuawa. Nasema Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia wakosoaji wakipotea hovyo, lakini kwenye nchi za kidemokrasia wakosoaji wanapotezwa kwa mkono wa chuma na haijulikani kama wapo hai au wamekufa maana hata maiti zao hazionekani. Bila shaka Mu7 ni "dikteta" katili.!

Huko kwa Mu7 hatujasikia Mbunge wa upinzani akipigwa risasi hadharani kwa sababu ya chuki za kisiasa, lakini kwenye nchi za kidemokrasia mbunge anaweza kupigwa risassi zaidi ya 30 hadharani mchana kweupe. Halafu security camera zikaondolewa haraka eneo hilo, na mfalme wa nchi husika asitoe hata salamu za pole kwa tukio hilo. Hakika dunia inajua udikteta wa Mu7 umevuka mipaka.

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia Gavana akivamia kituo cha televisheni na mitutu ya bunduki kulazimisha kipindi chake cha umbea kirushwe. Lakini hayo tumeyashuhudia kwenye nchi za kidemokrasia. Gavana anafanya atakavyo kwa kiburi cha kulindwa na mfalme. Dikteta Mu7 must go.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhhh mbona kinyume nyume !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M7 anapendwa sana Uganda tofauti na maandamano ya vijana wachache mnaowaona mitaani. Ukitaka kufahamu M7 alivyowapa uhuru wananchi wake anza route za Kampala

North West
 
Museveni yupo madarakani tangu 1985, sijui mleta mada ulikuwa na umri gani wakati huo.

JPM kama mambo yataenda kwa mipango ya Mungu ataongoza mpaka 2025, miaka kumi tu.

Watanzania tunapenda sana kulialia, kulalama kama mtoto anayenyimwa nyonyo na Mama yake.
Kweli baadhi ya watanzania wanaakili ndogo jamani!!

Eti kwakuwa dikteta wetu ataondoka katika kipndi cha miaka kumi, tukae kimya tu!

Aue watu, akandamize watu, aue democrasia, vimada wake wote awape vyeo, afanye manunuzi bila utaratibu...n.k!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli baadhi ya watanzania wanaakili ndogo jamani!!

Eti kwakuwa dikteta wetu ataondoka katika kipndi cha miaka kumi, tukae kimya tu!

Aue watu, akandamize watu, aue democrasia, vimada wake wote awape vyeo, afanye manunuzi bila utaratibu...n.k!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama wewe ndio wenye akili ndogo. Umebuni wazo la maendeleo ukazuiliwa usilitekeleze!!.

Umefikiria juu ya ujenzi wa kitu fulani chenye faida kwa jamii yako kabla ya kuabudu kile unacholishwa na wanaharakati?.

Museveni anayesifiwa na mleta mada kamtwanga Boby Wine mpaka jamii ya kimataifa inalalamika.

Mlizoea kuishi kijingajinga tu mkitukana viongozi kadri mlivyojisikia, mnaporudishwa kwenye mstari ndio mnaanza kupiga kelele za udikteta!!.

Badilikeni, dunia huwa haina muda wa kumsubiri mtu fulani apate akili, yenyewe ina nafasi kwa wenye akili na wanaojitambua.
 
M7 anapendwa sana Uganda tofauti na maandamano ya vijana wachache mnaowaona mitaani. Ukitaka kufahamu M7 alivyowapa uhuru wananchi wake anza route za Kampala

North West
Kinacho nipa taabu ni kwa nini anawabania wapinzani kama anapendwa sana? Au kuna kuto jiamini?
 
Kwamba media zote za Afrika sasa zinaripoti kuwa Buganda kuna udikteta na kwamba Mu7 ni dikteta nguli?

Lakini Dikteta Mu7 anayelaumiwa sana kimataifa hajazuia watu kutoa maoni yao kupitia forum mbalimbali. Tumeshuhudia suala la Bobi Wine watu wakimshutumu dikteta huyo na wengine hata kumtukana matusi ya nguoni na akawaacha. Lakini kuna nchi za kidemokrasia ukimkosoa "mfalme" unashughulikiwa, na hata ukiandika mitandaoni unakamatwa kwa sheria ya mitandao. Bila shaka Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 mikutano ya kisiasa inaruhusiwa bila vikwazo lakini kuna nchi za kidemokrasia mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku kwa agizo la mtu mmoja. Mtu huyo chama chake kipo huru kufanya mikutano lakini vyama vingine vimezuiwa. Na mkijaribu kufanya mikutamo diffender zinawazoa kama mizoga au mnatawanywa kama mbwa koko. Hakika Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 kesi ya Bobi Wine imerushwa live kupitia vituo mbalimbali vya televisheni. Majaji hawana wasiwasi kurushwa live wakisikiliza kesi na kusoma hukumu kwa sababu wanaongozwa na sheria. Lakini kuna nchi za kidemokrasia kesi za viongozi wa upinzani zinaendeshwa kwa siri kama kesi za uhaini. Mahakimu na Majaji wako "biased" kwa sababu ya kupokea maagizo kutoka juu. Hawaangalii sheria inataka nini, bali anayewapa maagizo anataka nini. Bado hamuamini Mu7 ni dikteta?

Huko kwa dikteta Mu7 askari aliyempiga mwandishi amefukuzwa kazi, na kushtakiwa, huku jeshi la polisi la nchi hiyo likiomba radhi. Nchi za kidemokrasia askari waliua binti asiye na hatia kwa kumpiga risasi kichwani, baada ya muda wakampiga mwandishi kipigo cha mbwa koko. Polisi hao wauaji hawakuchukuliwa hatua zozote. Wakaachwa kuendelea na kazi. Wala jeshi la polisi halikuona sababu ya kuomba radhi. Kwani mtafanya nini wakati Mu7 ndiye dikteta?

Kwa dikteta Mu7 vyombo vya habari vipo huru kurusha maudhui yoyote wayatakayo, lakini nchi za kidemokrasia vituo vyote vya TV vimeondolewa kwenye ving'amuzi na taifa zima linalazimishwa kutizama taarifa ya habari ya televisheni ya taifa ambayo imegeuka kitengo cha propaganda cha chama tawala. Sishangai kwanini Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hakuna maiti zinazookotwa hovyo mtaani, lakini kwenye nchi za kidemokrasia maiti zinaokotwa kiholela ufukweni zikiwa na majeraha, na inaonekana ni jambo la kawaida tu. Serikali haichukui hatua zozote na mkiwasumbua sana wanasema ni wahamiaji haramu. Yani kana kwamba imehalalishwa wahamiaji haramu kuuawa. Nasema Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia wakosoaji wakipotea hovyo, lakini kwenye nchi za kidemokrasia wakosoaji wanapotezwa kwa mkono wa chuma na haijulikani kama wapo hai au wamekufa maana hata maiti zao hazionekani. Bila shaka Mu7 ni "dikteta" katili.!

Huko kwa Mu7 hatujasikia Mbunge wa upinzani akipigwa risasi hadharani kwa sababu ya chuki za kisiasa, lakini kwenye nchi za kidemokrasia mbunge anaweza kupigwa risassi zaidi ya 30 hadharani mchana kweupe. Halafu security camera zikaondolewa haraka eneo hilo, na mfalme wa nchi husika asitoe hata salamu za pole kwa tukio hilo. Hakika dunia inajua udikteta wa Mu7 umevuka mipaka.

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia Gavana akivamia kituo cha televisheni na mitutu ya bunduki kulazimisha kipindi chake cha umbea kirushwe. Lakini hayo tumeyashuhudia kwenye nchi za kidemokrasia. Gavana anafanya atakavyo kwa kibluri cha kulindwa na mfalme. Dikteta Mu7 must go.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba media zote za Afrika sasa zinaripoti kuwa Buganda kuna udikteta na kwamba Mu7 ni dikteta nguli?

Lakini Dikteta Mu7 anayelaumiwa sana kimataifa hajazuia watu kutoa maoni yao kupitia forum mbalimbali. Tumeshuhudia suala la Bobi Wine watu wakimshutumu dikteta huyo na wengine hata kumtukana matusi ya nguoni na akawaacha. Lakini kuna nchi za kidemokrasia ukimkosoa "mfalme" unashughulikiwa, na hata ukiandika mitandaoni unakamatwa kwa sheria ya mitandao. Bila shaka Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 mikutano ya kisiasa inaruhusiwa bila vikwazo lakini kuna nchi za kidemokrasia mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku kwa agizo la mtu mmoja. Mtu huyo chama chake kipo huru kufanya mikutano lakini vyama vingine vimezuiwa. Na mkijaribu kufanya mikutamo diffender zinawazoa kama mizoga au mnatawanywa kama mbwa koko. Hakika Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 kesi ya Bobi Wine imerushwa live kupitia vituo mbalimbali vya televisheni. Majaji hawana wasiwasi kurushwa live wakisikiliza kesi na kusoma hukumu kwa sababu wanaongozwa na sheria. Lakini kuna nchi za kidemokrasia kesi za viongozi wa upinzani zinaendeshwa kwa siri kama kesi za uhaini. Mahakimu na Majaji wako "biased" kwa sababu ya kupokea maagizo kutoka juu. Hawaangalii sheria inataka nini, bali anayewapa maagizo anataka nini. Bado hamuamini Mu7 ni dikteta?

Huko kwa dikteta Mu7 askari aliyempiga mwandishi amefukuzwa kazi, na kushtakiwa, huku jeshi la polisi la nchi hiyo likiomba radhi. Nchi za kidemokrasia askari waliua binti asiye na hatia kwa kumpiga risasi kichwani, baada ya muda wakampiga mwandishi kipigo cha mbwa koko. Polisi hao wauaji hawakuchukuliwa hatua zozote. Wakaachwa kuendelea na kazi. Wala jeshi la polisi halikuona sababu ya kuomba radhi. Kwani mtafanya nini wakati Mu7 ndiye dikteta?

Kwa dikteta Mu7 vyombo vya habari vipo huru kurusha maudhui yoyote wayatakayo, lakini nchi za kidemokrasia vituo vyote vya TV vimeondolewa kwenye ving'amuzi na taifa zima linalazimishwa kutizama taarifa ya habari ya televisheni ya taifa ambayo imegeuka kitengo cha propaganda cha chama tawala. Sishangai kwanini Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hakuna maiti zinazookotwa hovyo mtaani, lakini kwenye nchi za kidemokrasia maiti zinaokotwa kiholela ufukweni zikiwa na majeraha, na inaonekana ni jambo la kawaida tu. Serikali haichukui hatua zozote na mkiwasumbua sana wanasema ni wahamiaji haramu. Yani kana kwamba imehalalishwa wahamiaji haramu kuuawa. Nasema Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia wakosoaji wakipotea hovyo, lakini kwenye nchi za kidemokrasia wakosoaji wanapotezwa kwa mkono wa chuma na haijulikani kama wapo hai au wamekufa maana hata maiti zao hazionekani. Bila shaka Mu7 ni "dikteta" katili.!

Huko kwa Mu7 hatujasikia Mbunge wa upinzani akipigwa risasi hadharani kwa sababu ya chuki za kisiasa, lakini kwenye nchi za kidemokrasia mbunge anaweza kupigwa risassi zaidi ya 30 hadharani mchana kweupe. Halafu security camera zikaondolewa haraka eneo hilo, na mfalme wa nchi husika asitoe hata salamu za pole kwa tukio hilo. Hakika dunia inajua udikteta wa Mu7 umevuka mipaka.

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia Gavana akivamia kituo cha televisheni na mitutu ya bunduki kulazimisha kipindi chake cha umbea kirushwe. Lakini hayo tumeyashuhudia kwenye nchi za kidemokrasia. Gavana anafanya atakavyo kwa kiburi cha kulindwa na mfalme. Dikteta Mu7 must go.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Every President,has his own style of governance:hats Trump, hatawali kama walivyotawala walimtangulia akina Obama na wenzake, hata hapa Tz, tumeona ,utawala was waliotangulia akina mzee ruksa, aliweka pembeni Azimio la Arusha,Mkapa akauza Mabenk ,Nyumba za serikali na Mashirika ya Umma, JK, UPO H .
Kwamba media zote za Afrika sasa zinaripoti kuwa Buganda kuna udikteta na kwamba Mu7 ni dikteta nguli?

Lakini Dikteta Mu7 anayelaumiwa sana kimataifa hajazuia watu kutoa maoni yao kupitia forum mbalimbali. Tumeshuhudia suala la Bobi Wine watu wakimshutumu dikteta huyo na wengine hata kumtukana matusi ya nguoni na akawaacha. Lakini kuna nchi za kidemokrasia ukimkosoa "mfalme" unashughulikiwa, na hata ukiandika mitandaoni unakamatwa kwa sheria ya mitandao. Bila shaka Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 mikutano ya kisiasa inaruhusiwa bila vikwazo lakini kuna nchi za kidemokrasia mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku kwa agizo la mtu mmoja. Mtu huyo chama chake kipo huru kufanya mikutano lakini vyama vingine vimezuiwa. Na mkijaribu kufanya mikutamo diffender zinawazoa kama mizoga au mnatawanywa kama mbwa koko. Hakika Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 kesi ya Bobi Wine imerushwa live kupitia vituo mbalimbali vya televisheni. Majaji hawana wasiwasi kurushwa live wakisikiliza kesi na kusoma hukumu kwa sababu wanaongozwa na sheria. Lakini kuna nchi za kidemokrasia kesi za viongozi wa upinzani zinaendeshwa kwa siri kama kesi za uhaini. Mahakimu na Majaji wako "biased" kwa sababu ya kupokea maagizo kutoka juu. Hawaangalii sheria inataka nini, bali anayewapa maagizo anataka nini. Bado hamuamini Mu7 ni dikteta?

Huko kwa dikteta Mu7 askari aliyempiga mwandishi amefukuzwa kazi, na kushtakiwa, huku jeshi la polisi la nchi hiyo likiomba radhi. Nchi za kidemokrasia askari waliua binti asiye na hatia kwa kumpiga risasi kichwani, baada ya muda wakampiga mwandishi kipigo cha mbwa koko. Polisi hao wauaji hawakuchukuliwa hatua zozote. Wakaachwa kuendelea na kazi. Wala jeshi la polisi halikuona sababu ya kuomba radhi. Kwani mtafanya nini wakati Mu7 ndiye dikteta?

Kwa dikteta Mu7 vyombo vya habari vipo huru kurusha maudhui yoyote wayatakayo, lakini nchi za kidemokrasia vituo vyote vya TV vimeondolewa kwenye ving'amuzi na taifa zima linalazimishwa kutizama taarifa ya habari ya televisheni ya taifa ambayo imegeuka kitengo cha propaganda cha chama tawala. Sishangai kwanini Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hakuna maiti zinazookotwa hovyo mtaani, lakini kwenye nchi za kidemokrasia maiti zinaokotwa kiholela ufukweni zikiwa na majeraha, na inaonekana ni jambo la kawaida tu. Serikali haichukui hatua zozote na mkiwasumbua sana wanasema ni wahamiaji haramu. Yani kana kwamba imehalalishwa wahamiaji haramu kuuawa. Nasema Mu7 ni dikteta.!

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia wakosoaji wakipotea hovyo, lakini kwenye nchi za kidemokrasia wakosoaji wanapotezwa kwa mkono wa chuma na haijulikani kama wapo hai au wamekufa maana hata maiti zao hazionekani. Bila shaka Mu7 ni "dikteta" katili.!

Huko kwa Mu7 hatujasikia Mbunge wa upinzani akipigwa risasi hadharani kwa sababu ya chuki za kisiasa, lakini kwenye nchi za kidemokrasia mbunge anaweza kupigwa risassi zaidi ya 30 hadharani mchana kweupe. Halafu security camera zikaondolewa haraka eneo hilo, na mfalme wa nchi husika asitoe hata salamu za pole kwa tukio hilo. Hakika dunia inajua udikteta wa Mu7 umevuka mipaka.

Kwa dikteta Mu7 hatujasikia Gavana akivamia kituo cha televisheni na mitutu ya bunduki kulazimisha kipindi chake cha umbea kirushwe. Lakini hayo tumeyashuhudia kwenye nchi za kidemokrasia. Gavana anafanya atakavyo kwa kiburi cha kulindwa na mfalme. Dikteta Mu7 must go.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
EVERY PRESIDENT HAS HIS/HER OWN STYLE OF GORVENANCE; Mtoa Uzi lazima ujue kuwa ,kila mtawala ana mtazamo wake na malengo yake , hata hao mnowaita vinara wa Demokrasia wamarekani,ambao Mimi ndio nawaita Madkteta nambari moja wa Dunia , nao kila mtawala akiingia madarakani anastyle take yakutawala, Trump, amefutlia mbali Sera nyingi za mtanglizi wake Obama!?, hata Tz tulikuwa na Mzee ruksa akafuta Azimio LA Arusha, Mmachinga, akauza Nyumba za serikali, Mabenki,na mashirika ya Umma, JK,mikataba ya madini kwenda kusainiwa London na Safari nyingi sana nchi za Ng'ambo, Sasa wewe unataka Ngosha amwige nani?au M7, amwige nani?!, Hao wamarekani wanaua watawala kila kona ya Dunia wanaojaribu kukatisha maslahi yao ,hawana rafiki was kweli, wana urfiki was kimaslahi,walimuua Gadafi, Lumumba, Sadaam, Yaser Ararfat, Savimbi, na sasa wanawawinda Syiria, Iran na North Korea , Jiulize kulikoni?!?!,
 
Back
Top Bottom