hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Kwa mujibu wa sheria ipi?[emoji848]
aisee ,muacheni huyo mzee
Kubna yule binti wa Raisi Do Santos wa Angola. Yule yupo hata Forbes ndiye female richest person. Na Nigeria wapo kadhaa.hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Hapana, mali kabla ya ndoa huwa hazihusiki labda kama kuna mabadiliko makubwa mno ya hizo mali.hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Hakuna kitu kama hicho soma sheria ya ndoa vizuri..hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Prenup agreement ni kitu kizuri mno .its simple tunaoana kwa mapenzi pesa zangu Kabla ya ndoa haugusi .
mkifunga ndoa mnakuwa ni mwili mmoja cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, mali ni za wote, hata ndoa ifungwe leo kesho mume akafa automaticaly mali zote ni za mke. hicho ndio kinachofanyika kote mali ni za familia.Sheria ipi inasema mkifunga ndoa mali ni pasu?
kwa hiyo mume akifa mali zinaenda kwa nani kama sio kwa mke na watoto?Hakuna kitu kama hicho soma sheria ya ndoa vizuri..
Lazima uangalie mlimkuta na nini?
Umeongeza nini katika mali zake,hata kama zimeogezeka baada ya kuwa nawe,Je wewe unamchango gani au ni kula kulala tu ukisubiri afe?
Kuna mali mlizochangia au wewe ni mawazo tu lakini hukuweka hata mia??
Unaweza shangaa mahakama inampa milioni hamsini tu kati ya mabilioni..maana mali aliikuta tayari ipo watakachoangali ni nini amekiongezea au ushiriki wake katika kikiogezea..
Hiyo ni sheria ya ukoo wenumkifunga ndoa mnakuwa ni mwili mmoja cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, mali ni za wote, hata ndoa ifungwe leo kesho mume akafa automaticaly mali zote ni za mke. hicho ndio kinachofanyika kote mali ni za familia.
Kwa biashara ipi?hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Labda Shariah Law ya Rufiji ndombole hukooHiyo ni sheria ya ukoo wenu