Did Mwalimu die a natural death?

Did Mwalimu die a natural death?

Mwalimu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya damu Lukemia ambayo ilishambulia mfumo wake wa kinga za mwili na Mhe. Fupi(Mkapa) akatangazia umma kuwa amefariki kwa Ukosefu wa Kinga Mwilini. Hakuna maswali mengine usiniulize!
 
Upungufu wa kinga mwilini ila mtikila alifupisha akasema ukimwi na akashinda kesi,ila mie nahisi ni kama umafia ulichezeshwa hapa,mbona wakati anenda uk alikuwa sio nyondenyonde alikuwa na nguvu zake fresh sema alivyofika kule nahisi walim-assasinate....
 
Alikuwa anaumwa maradhi ya Leukemia: refers to cancers of the white blood cells
 
unajua yule mzee hakuwahi kuugua mpaka kulazwa tangu maisha yake yote hapa duniani,ila alikua anatabia ya kwenda kucheki afya pindi awapo ziarani nje ya nchi.walio muuwa ni hawa mafisadi wanaotafuna nchi sasahivi na kugawa raslimali zetu.baada ya mwalimu kustaafu alirudi kijijini alikozaliwa akiendelea na shughuli zake za kawaida za kilimo.sasa ikawa ni muda mrefu hakua amefanya check up ya afya yake kama ilivyozoeleka ,basi mafasadi na majizi ya sisiemu yakajifanya yanaenda kutembelea na kumjulia hali hapohapo yakamchomekea kua mzee unajua hukucheki afya yako muda mrefu kwahiyo si vibaya tukaenda ulaya kufanya check up,kweli mzee akaona wazo sio baya akakubaliana nao,basi toka hapo ndio ikawamauti yake,wanngekua wamemtoa hospitali tungesema mzee alikua mgonjwa alakini nikua walimkuta mwenye nchi yuko zake shambani ana afya yake akipalillia mazao yake bila tatizo.kumbe wamesha anda watu wa kumpa sumu huko uluya na kweli mwalimu hakurudi.alakini hakuna atakae ishi milele kwani kila nafsi lazima itaonja mauti
 
LEUKEMIALeukemia (American English) or leukaemia (British English) (from the Greek leukos - white, and haima - blood[SUP][1][/SUP]) is a type of cancer of the blood or bone marrow characterized by an abnormal increase of white blood cells. Leukemia is a broad term covering a spectrum of diseases. In turn, it is part of the even broader group of diseases affecting the blood, bone marrow and lymphoid system, which are all known as hematological neoplasms.In 2000, approximately 256,000 children and adults around the world developed some form of leukemia, and 209,000 died from it.[SUP][2][/SUP] About 90% of all leukemias are diagnosed in adults.[SUP][3][/SUP]ClassificationClinically and pathologically, leukemia is subdivided into a variety of large groups. The first division is between its acute and chronic forms:· Acute leukemia is characterized by a rapid increase in the numbers of immature blood cells. Crowding due to such cells makes the bone marrow unable to produce healthy blood cells. Immediate treatment is required in acute leukemia due to the rapid progression and accumulation of the malignant cells, which then spill over into the bloodstream and spread to other organs of the body. Acute forms of leukemia are the most common forms of leukemia in children. · Chronic leukemia is characterized by the excessive build up of relatively mature, but still abnormal, white blood cells. Typically taking months or years to progress, the cells are produced at a much higher rate than normal cells, resulting in many abnormal white blood cells in the blood. Whereas acute leukemia must be treated immediately, chronic forms are sometimes monitored for some time before treatment to ensure maximum effectiveness of therapy. Chronic leukemia mostly occurs in older people, but can theoretically occur in any age group.

Causes
No single known cause for all of the different types of leukemia exists. The known causes, which are not generally factors within the control of the average person, account for relatively few cases.[SUP][16][/SUP] The different leukemias likely have different causes.
Leukemia, like other cancers, results from mutations in the DNA. Certain mutations can trigger leukemia by activating oncogenes or deactivating tumor suppressor genes, and thereby disrupting the regulation of cell death, differentiation or division. These mutations may occur spontaneously or as a result of exposure to radiation or carcinogenic substances.[SUP][17][/SUP]Among adults, the known causes are natural and artificial ionizing radiation, a few viruses such as Human T-lymphotropic virus, and some chemicals, notably benzene and alkylating chemotherapy agents for previous malignancies.[SUP][18][19][20][/SUP] Use of tobacco is associated with a small increase in the risk of developing acute myeloid leukemia in adults.[SUP][18][/SUP] Cohort and case-control studies have linked exposure to some petrochemicals and hair dyes to the development of some forms of leukemia. A few cases of maternal-fetal transmission have been reported.[SUP][18][/SUP] Diet has very limited or no effect, although eating more vegetables may confer a small protective benefit.[SUP][16][/SUP]Viruses have also been linked to some forms of leukemia. Experiments on mice and other mammals have demonstrated the relevance of retroviruses in leukemia, and human retroviruses have also been identified. The first human retrovirus identified was Human T-lymphotropic virus, or HTLV-1, is known to cause adult T-cell leukemia.[SUP][21][/SUP]Some people have a genetic predisposition towards developing leukemia. This predisposition is demonstrated by family histories and twin studies.[SUP][18][/SUP] The affected people may have a single gene or multiple genes in common. In some cases, families tend to develop the same kind of leukemia as other members; in other families, affected people may develop different forms of leukemia or related blood cancers.[SUP][18][/SUP]In addition to these genetic issues, people with chromosomal abnormalities or certain other genetic conditions have a greater risk of leukemia.[SUP][19][/SUP] For example, people with Down syndrome have a significantly increased risk of developing forms of acute leukemia (especially acute myeloid leukemia), and Fanconi anemia is a risk factor for developing acute myeloid leukemia.[SUP][18][/SUP]Whether non-ionizing radiation causes leukemia has been studied for several decades. The International Agency for Research on Cancer expert working group undertook a detailed review of all data on static and extremely low frequency electromagnetic energy, which occurs naturally and in association with the generation, transmission, and use of electrical power.[SUP][22][/SUP] They concluded that there is limited evidence that high levels of ELF magnetic (but not electric) fields might cause childhood leukemia. Exposure to significant ELF magnetic fields might result in twofold excess risk for leukemia for children exposed to these high levels of magnetic fields.[SUP][22][/SUP] However, the report also says that methodological weaknesses and biases in these studies have likely caused the risk to be overstated.[SUP][22][/SUP] No evidence for a relationship to leukemia or another form of malignancy in adults has been demonstrated.[SUP][22][/SUP] Since exposure to such levels of ELFs is relatively uncommon, the World Health Organization concludes that ELF exposure, if later proven to be causative, would account for just 100 to 2400 cases worldwide each year, representing 0.2 to 4.9% of the total incidence of childhood leukemia for that year (about 0.03 to 0.9% of all leukemias Signs and symptomshttp://en.wikipedia.org/wiki/File:Symptoms_of_leukemia.pnghttp://en.wikipedia.org/wiki/File:Symptoms_of_leukemia.pngCommon symptoms of chronic or acute leukemia[SUP][14][/SUP]Damage to the bone marrow, by way of displacing the normal bone marrow cells with higher numbers of immature white blood cells, results in a lack of blood platelets, which are important in the blood clotting process. This means people with leukemia may easily become bruised, bleed excessively, or develop pinprick bleeds (petechiae).White blood cells, which are involved in fighting pathogens, may be suppressed or dysfunctional. This could cause the patient's immune system to be unable to fight off a simple infection or to start attacking other body cells. Because leukemia prevents the immune system from working normally, some patients experience frequent infection, ranging from infected tonsils, sores in the mouth, or diarrhea to life-threatening pneumonia or opportunistic infections.Finally, the red blood cell deficiency leads to anemia, which may cause dyspnea and pallor.Some patients experience other symptoms, such as feeling sick, having fevers, chills, night sweats and other flu-like symptoms, or feeling fatigued. Some patients experience nausea or a feeling of fullness due to an enlarged liver and spleen; this can result in unintentional weight loss. If the leukemic cells invade the central nervous system, then neurological symptoms (notably headaches) can occur. All symptoms associated with leukemia can be attributed to other diseases. Consequently, leukemia is always diagnosed through medical tests.The word leukemia, which means 'white blood', is derived from the disease's namesake high white blood cell counts that most leukemia patients have before treatment. The high number of white blood cells are apparent when a blood sample is viewed under a microscope. Frequently, these extra white blood cells are immature or dysfunctional. The excessive number of cells can also interfere with the level of other cells, causing a harmful imbalance in the blood count.Some leukemia patients do not have high white blood cell counts visible during a regular blood count. This less-common condition is called aleukemia. The bone marrow still contains cancerous white blood cells which disrupt the normal production of blood cells, but they remain in the marrow instead of entering the bloodstream, where they would be visible in a blood test. For an aleukemic patient, the white blood cell counts in the bloodstream can be normal or low. Aleukemia can occur in any of the four major types of leukemia, and is particularly common in hairy cell leukemia.[SUP][15][/SUP][h=2]Diagnosis[/h]Diagnosis is usually based on repeated complete blood counts and a bone marrow examination following observations of the symptoms, however, in rare cases blood tests may not show if a patient has leukemia, usually this is because the leukemia is in the early stages or has entered remission. A lymph node biopsy can be performed as well in order to diagnose certain types of leukemia in certain situations.Following diagnosis, blood chemistry tests can be used to determine the degree of liver and kidney damage or the effects of chemotherapy on the patient. When concerns arise about visible damage due to leukemia, doctors may use an X-ray, MRI, or ultrasound. These can potentially view leukemia's effects on such body parts as bones (X-ray), the brain (MRI), or the kidneys, spleen, and liver (ultrasound). Finally, CT scans are rarely used to check lymph nodes in the chest.Despite the use of these methods to diagnose whether or not a patient has leukemia, many people have not been diagnosed because many of the symptoms are vague, unspecific, and can refer to other diseases. For this reason, the American Cancer Society predicts that at least one-fifth of the people with leukemia have not yet been diagnosed.[SUP][15][/SUP]Mutation in SPRED1 gene has been associated with a predisposition to childhood leukemia.[SUP][24][/SUP] SPRED1 gene mutations can be diagnosed with genetic sequencing[h=2]Treatment[/h]Most forms of leukemia are treated with pharmaceutical medication, typically combined into a multi-drug chemotherapy regimen. Some are also treated with radiation therapy. In some cases, a bone marrow transplant is useful. Promising treatment through gene therapy is currently being pursued
 
Hakufa kifo cha kawaida. siku anaondoka kwenda UK nilikuwa Airport pale TBI, hakuwa na tatizo lolote serious zaidi ya kama mwenyewe alivosema 'naenda kuchek afya"
 
Tumuulize Dr Mwakyusa ambaye alikuwamo katika jopo la madr walikuwa wanamuhudumia.
 
I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"
It's was natural death.

A death by natural causes, as recorded by coroners and on death certificates and associated documents, is one that is primarily attributed to natural agents: usually an illness or an internal malfunction of the body.

For example, a person dying from complications from
influenza (an infection) or a heart attack (an internal body malfunction) would be listed as having died of natural causes. Old age is not a scientifically recognized cause of death; there is always a more direct cause although it may be unknown in certain cases and could be one of a number of aging-associated diseases.

In contrast, death caused by active intervention is called unnatural death. The "
unnatural" causes are usually given as accident (implying no unreasonable voluntary risk), misadventure (accident following a wilful and dangerous risk), suicide, or homicide. In some settings, other categories may be added. For example, a prison may track the deaths of inmates due to acute intoxication separately
 
Nionavyo mimi

Muuliza swali ulitakiwa utoe hoja kwa kuanza na maelezo ambayo katika hayo anaona kuna utata na kisha kupitia ushahidi wa maelezo yako uulize, je kutokana na ushahidi huu mkubwa alikufa natural death?
 
Mungu pekee ndie mwenye uwezo wa kuchukua roho ya mwanadamu.
 
Mwalimu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya damu Lukemia ambayo ilishambulia mfumo wake wa kinga za mwili na Mhe. Fupi(Mkapa) akatangazia umma kuwa amefariki kwa Ukosefu wa Kinga Mwilini. Hakuna maswali mengine usiniulize!

Umenifurahisha hapo juu umepotumia Mh. Fupi, duh kumbe kucheka sio lazima kule Joke&gossips
 
Upungufu wa kinga mwilini ila mtikila alifupisha akasema ukimwi na akashinda kesi,ila mie nahisi ni kama umafia ulichezeshwa hapa,mbona wakati anenda uk alikuwa sio nyondenyonde alikuwa na nguvu zake fresh sema alivyofika kule nahisi walim-assasinate....

Hakufa kwa u.ki.mwi, si unaona mama Maria alivyo energetic +healthy, nadhani kuna sababu nyingne nyuma ya pazia ambayo wanaijua wakubwa tu.!
 
unajua yule mzee hakuwahi kuugua mpaka kulazwa tangu maisha yake yote hapa duniani,ila alikua anatabia ya kwenda kucheki afya pindi awapo ziarani nje ya nchi.walio muuwa ni hawa mafisadi wanaotafuna nchi sasahivi na kugawa raslimali zetu.baada ya mwalimu kustaafu alirudi kijijini alikozaliwa akiendelea na shughuli zake za kawaida za kilimo.sasa ikawa ni muda mrefu hakua amefanya check up ya afya yake kama ilivyozoeleka ,basi mafasadi na majizi ya sisiemu yakajifanya yanaenda kutembelea na kumjulia hali hapohapo yakamchomekea kua mzee unajua hukucheki afya yako muda mrefu kwahiyo si vibaya tukaenda ulaya kufanya check up,kweli mzee akaona wazo sio baya akakubaliana nao,basi toka hapo ndio ikawamauti yake,wanngekua wamemtoa hospitali tungesema mzee alikua mgonjwa alakini nikua walimkuta mwenye nchi yuko zake shambani ana afya yake akipalillia mazao yake bila tatizo.kumbe wamesha anda watu wa kumpa sumu huko uluya na kweli mwalimu hakurudi.alakini hakuna atakae ishi milele kwani kila nafsi lazima itaonja mauti

Umeandika kwa hisia sana, nimejihisi huzuni ikipenya moyoni na kunikumbusha simanzi ile. Kama kuna majizi yalimwua makusudi ili yabaki yanaiba bila bugdha, Mwenyezi Mungu Awalipizie hapahapa duniani.
 
Kifo cha mwalimu ndo kufuata matendpyake?.................acheni kuweka upupu humu ndani..........heshima ni kitu cha bure,,,, mwalumu yukombionikufanywa mtakatifu kwani aliishi kitakatifu na kwa upendo wa hali ya juu kwa watz na wafrika wote
 
NO! Mwalimu didn't die a natural death, just think of the most powerful people in the CCM in terms of cash or sponsors, they were not their before Mwl. died. Their aim was to kill him for Tanzania natural resources. God be with them.
 
NO! Mwalimu didn't die a natural death, just think of the most powerful people in the CCM in terms of cash or sponsors, they were not their before Mwl. died. Their aim was to kill him for Tanzania natural resources. God be with them.

Lets wait for Mwakyembe and Mwandosya
 
Back
Top Bottom