Did Tanzania Steal SA's National Anthem?

Hujui history ya huo wimbo wewe.
Halafu kato SA na TZ ipi ilianza kitumia huo wimbo?

Wimbo huo unatumika TZ Zambia na SA

Watoto hata shule sijui wanasoma nini?
 
U said we ujamaa killing us. Hiyo ndiyo katiba yetu kwahiyo sisi na nyie ni tofauti. Ujamaa maana yake brotherhood.
 
Na hili nalo mmelirukia ?? Ukawa awamu hii mtadandia kila kitu! Mnatapatapa sasa!
 
U said we ujamaa killing us. Hiyo ndiyo katiba yetu kwahiyo sisi na nyie ni tofauti. Ujamaa maana yake brotherhood.

So whats your point. kuwa tofauti kawaida hiyo. kiukweli kuwa tofauti ni chanzo cha nguvu kwa jamii!! we learn from each other to improve ourselves rather than drawing from homogeneity!! which stifles creativity!!!
 
Ne
Tanzania was a leader of all frontline states and was as well a central command of the entire liberation movements.
Kenya had no obligation to help anybody because our independence cause was not helped by any african country. We owed nothing to anyone and that has been our mantra. Kenya does not need buddying some not so progressive states to prove anything to anyone. Did i see someone make a comparison of the courts of arms? Just goes to show that Kenya was not on a copy paste spree, our independent thinking is legendary
 
Kwikwikwi nyie wasaliti mlikuwa mmekumbatia makaburu. Sasa hivi mtabaki nyie tu nchi zote za Africa zinawaepuka.
 
Kwikwikwi nyie wasaliti mlikuwa mmekumbatia makaburu. Sasa hivi mtabaki nyie tu nchi zote za Africa zinawaepuka.
Looks like communism has not left your minds, the world is not a fireplace that we have to huddle around to exist. Do you realize how racist that statement is? After independence Kenya looked at any part of the world in terms of opportunities not color. What you are calling makaburu were only business partners to us and still are. If you want to know the meaning of bootlicking, try Tanzania and South Africa
 
nchi zote zilizopinga ukaburiwa Afrika kusini wanautumia wimbo huu,ila vibaraka kama nchi yako hawawezi kuuoenda,maana ni vibaraka,Tanzani ndo ilikuwa ya kwanza kutumia wimbo huu,sasa sijui nani kamuiga mwenzie...tumia akili zako ndogo vizuri
 
My friend Tanzania is not a communist country. Its Ujamaa country. So funga domo lako hilo muendelee kuuana huko kwenu. Hatuwahitaji wakenya kwa chochote ni nyie tu kujipendekeza kwetu ndugu zetu wapo kusini.
Nyie endeleeni na wenzenu wasomali. Kwa Tanzania nyie ni nothing. Yaani nyie ni ziro nyeusi kwetu na wala msijishebedue
 
 

usiwe mvivu wa kusoma na kutafiti kaka!!!!!! translation means from one language to another. wimbo ulikuwa umeandikwa kwa kimombo. Tz wakachukua na kuufanyia ukarabati in swahili!!!! wimbo original bado wa mzungu Joseph Parry. So when you talk of white men in africa, there he is in your national anthem!!

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written by Joseph Parry.[3][1] wikipedia
 
mii Literature zangu Enoch Sontonga ndo mwandishi...wewe baki na huyo wako
 
Wewe wimbo wa Taifa wa nchi jirani unakuhusu nini? acha ushamba wa kikenya wa kijinga jinga. Ndio maana mnachinjwa kama kuku huko somalia.
 
Did Tanzania Steal SA's National Anthem?

Tanzania copied and pasted the SA national anthem for sure
 
nchi zote zilizopinga ukaburiwa Afrika kusini wanautumia wimbo huu,ila vibaraka kama nchi yako hawawezi kuuoenda,maana ni vibaraka,Tanzani ndo ilikuwa ya kwanza kutumia wimbo huu,sasa sijui nani kamuiga mwenzie...tumia akili zako ndogo vizuri

Mnafaa kubuni wimbo wenu wa taifa, muache kuwashobokea Wasouth, wale kwanza hawapendi miafrika kutoka nchi zingine, mnaitwa makwerekwere, afu ukikatiza kitaa kwao ovyo ovyo, hawakawii kukucharanga mapanga. Muache uvivu, mtunge wimbo na kuupenda.

kama vipi muwaombe bongofleva akina Mondi na Kiba wawatungie wimbo.
 
Wewe wimbo wa Taifa wa nchi jirani unakuhusu nini? acha ushamba wa kikenya wa kijinga jinga. Ndio maana mnachinjwa kama kuku huko somalia.

naipenda ino tabia ya kitanzania akilemewa hoja anageukia matusi na subject diversion. annabel nilifikiria kuna kitu cha maana kati ya maskio yako mawili. like a brain. Too bad it turns out to be the typical mtanzania kijiweni!!!


MwendaOmoJF-Expert Member
They should have written; Made in South Africa.

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written by Joseph Parry.[3][1] wikipedia
 
unaongea nini sasa?
 
Unahoja gani sasa hapa wakati unahara uharo. Wewe tumekueleza historia ya huo wimbo sisi watanzania tunajua.
Tumekueleza huo wimbo ulikuwa unaimbwa na nchi zote za front line state kusini mwa africa.
Tanzania, Zambia, Zimbabwe na Namibia. Huu wimbo si tu ni kwaajiri ya kukumbusha waafrika kuhusu mambo matatu (Wisdom, Unity and Piece) bali pia ni historia kwa kizazi chetu cha SADC kujua udugu na umoja wetu.
Nyie mtabaki kuwa wasaliti tu miaka yote.
HEKIMA, UMOJA NA AMANI HIZI NI NGAO ZETU. Ndio maana Zambia na Tanzania ni wamoja. Tulijenga Reli ya kuunganisha nchi hizi baada ya uhuru (TAZARA)
Nyie mtaendelea kuwa vibaraka ziku zote na kutengwa na nchi nyingi za kiafrica. Hamuheshimu hata utu wa mwafrika mnakumbatia wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…