Did Tanzania Steal SA's National Anthem?


Kama ni uhusiano wa mataifa za Afrika, pimanisha basi:

Diplomatic missions za Kenya,



Diplomatic missions za Tanzania:
 

You must be ashamed of yourself. These kind of false statements clearly manifest hatred and jealous. Our mining industry is dominated by Tanzanians.
 
Africa is one and Tanzania proudly played critical role in liberation struggle while Kenya was hugging kissing apartheid feet's ! There was minister in Kenya who was refusing to fly with aircraft flown by blacks African - what a shame !
 
Kama ni uhusiano wa mataifa za Afrika, pimanisha basi:

Diplomatic missions za Kenya,



Diplomatic missions za Tanzania:

We unakichaa! Ramani yako inaonesha eti mna uhusiano na Zimbabwe, Namibia na Tanzania hatuna! Lini mtaacha uongo aisee? Hakuna atasiku moja Rais yeyote wa Kenya ashapata State visit in South Africa, Namibia, Zimbabwe, Angola or Mozambique na haijapata tokea marais wa nnchi hizo kuja Kenya kwa state visit or sherehe za kitaifa or kuapishwa rais wenu. Na haitatokea any time soon kwa Kenya na Malawi due to your sins of supporting apartheid. We also have a very solid diplomatic relation with Algeria na rais wao keshatembea Tz mara kibao ingawa ramani yako feki na yakutunga inaonesha otherwise. Dah! Nyie ni waongo mno, you guys are extremely horrible people.
 

Unaweza foka, ufoke, ufokeke.
Lakini takwimu haidanganyi, ewe Mtanganyika.


Na usikize kwa makini - ramani hii ni ya consulates ambazo nchi imejenga huko kwingine. Sio ni wapi wageni walipotoka.

Algeria ina consulate ndani ya Tanzania, lakini Tanzania haina consulate ndani ya Algeria.

Sawa?
 
You need a class from ambassodour Ami Mpungwe
Read more here Balozi: Sekta ya madini ni zaidi ya jipu, ni tezi

I have no reason to read politically motivated narratives which are specifically meant for narrow minded folks like yourself. I need no propagandist to lecture me about an industry that I am aware of in clinical details. Perhaps you should try and get to know the mining bill endorsed by Kikwete's administration soon after he took office.
 

Unakichaa, Tanzania ina balozi Algeria.Na pia, kama tukifuata logic yako na hii ramani uchwara, Iinaonesha Tanzania haina balozi Zimbabwe na Namibia! Gen Hashim Mbita, a former chief executive secretary of liberarion committee was among a number of Tanzania’s ambassadors to Zimbabwe. Tuna balozi Namibia as well as Angola
 
Pay back time for traitors...
 
You need a class from ambassodour Ami Mpungwe
Read more here Balozi: Sekta ya madini ni zaidi ya jipu, ni tezi
Tulieni tuwanyoe. Njaa itawaua. Askari wenu wakufa hovyo hovyo huko somalia.
Hiki kipindi cha Magu subirini tu amalize kupanga safu yake hatua ya kwanza hawamiaji haramu mnaondoka. Naona umeanza kujivuna sasa baada ya kupata kipande kidogo cha ardhi hapa TZ. Tunahakikisha unaondoka. Wewe subiri tu.
 

Pole ndugu. Hujui kusoma ramani. Hujui tofauti kati ya Zimbabwe na Botswana. Mnayo consulate Zimbabwe. Lakini hamna Angola, wala Namibia.

Huniamini? Uliza serikali yako.
 

umesema nini sasa hapo. yaani nil, zeero. speculation tupu na blah bla mop!!!! wimbo uliandikwa na mzungu James Parry kwa kizungu, it got translated to kiswahili for use in tanzania, so you not only borrowed the words, the tune but your writer is a white man, can you just shut it up and move on.

This translation[edit]
It was first performed in Swahili at a ceremony on 8 December 1961 following the independence of Tanganyika from the British Empire. "Mungu ibariki Afrika" was composed to replace the British national anthem, "God Save the Queen" as the national anthem of Tanganyika.[4] This made Tanganyika the first African nation to adopt the tune of "Nkosi Sikelel' iAfrika" as its national anthem.[5] In 1964, Tanganyika formed a union with Zanzibar, which created the United Republic of Tanganyika and Zanzibar (later renamed to Tanzania). The newly united country adopted "Mungu ibariki Afrika" as its national anthem instead of Zanzibar's anthem.[5] Tanzania's use of "Mungu ibariki Afrika" led the way for other African countries such as Zimbabwe,Ciskei and Transkei adopted "Nkosi Sikelel' Afrika", in parts, as their national anthems. South Africa where the song comes from use only some of the words, Zambia uses only the tune and other countries have now abandoned its use.[2] "Mungu ibariki Afrika" was inspired by the African National Congress's use of "Nkosi Sikelel' iAfrika" ("God Bless Africa") as its party song after its use at Ohlange High School. The ANC anthem led to "Mungu ibariki Afrika" being selected as the national anthem of Tanzania.[6][7][8] "Mungu ibariki Afrika" is also used as a hymn requesting Tanzania remain united and independent.[9] wikipedia
 

Tafaadhali ficha upumbavu wako, hakuna speculations hapa, mm ni mwananchi mwanahistoria wa nchi husika, ninakupa facts, wewe ndio unaleta uongo na speculations. Mungu ibariki in xhosa is nkosi sikelel, it was used by ANC. No pan africanist would adhere use national anthem words composed by a white man. Ushaambiwa south africa itself uses only some words, Tz ndio imetumia maneno ya nkosi sikelel in swahili na waka adopt tune yao and made the song their national anthem. Sasa wewe mkenya na source zako unatuletea propaganda mzungu alitutungia wimbo, danganya wenzako sio wa Tz, walimu na mababu zetu walitufundisha kama nilivyokuelezea, hakuna mzungu alietutungia wimbo. Naomba ufunge huu mjadala maana unajifanya mjuaji, kumbe hujui kitu, just another egoistic dumb kenyan boy.
 
Hawa wakenya wameishiwa point. Huwezi kuwa mtu mwenye akili timamu unaelezwa na wahusika halafu unaendelea kung'ang'ania mawazo ya ajabu.

Hawa wakenya wanaweweseka sana.
 
Pole ndugu. Hujui kusoma ramani. Hujui tofauti kati ya Zimbabwe na Botswana. Mnayo consulate Zimbabwe. Lakini hamna Angola, wala Namibia.

Huniamini? Uliza serikali yako.

Ndio zao hawa jamaa, wana matatizo kielimu, jamaa anatia aibu balaa.
 
Wewe mpuuzi kweli hebu ona ndugu zako wanavyokufa na njaa kwa upuuzi wenu wa ukabira. Huku mnajisifu kijinga.

Ninaona furaha sana unapoweka picha nyingi za Somalia na Nchi zingine hapa ukisema kuwa ni wajibu wa Wakenya kuwalisha. Kwa kweli, hii inaionyesha ya kuwa mnatambua Kenya kuwa "baba yao." tunaomba msamaha kwa kuwatelekeza watoto wetu, na tutajitahidi zaidi.

Swali langu ni je, kwanini wakati mwingine nyie (si watanzania wote humu jf though,) huwa na mazoea ya kutoelewa mada? Tunajadili kuhusu kuhusu wimbo wa Taifa. Kwanini nyie msijue mada ni ipi?

Kuna watanzania fulani ambao hawana ufahamu wa wimbo wao wa taifa na haya ni mageni. Siku moja nilimsikia mtanzania akijigamba kuwa SA wamecopy Wimbo wa wao taifa. Hata hivi sasa, nimemona mtu mmoja hapa akisema SA walikopi Bendera lao. Hamjui kuwa ni Nyie ndio mlicopy bendera ya ANC. Kwanini ubunifu hamna?

Kuhusu kuwekwa kwa miili ya wanajeshi wa Kenya, siwezi shuka kiwango cha kijinga kama hicho; hivi majuzi, wananchi wenu zaidi ya hamsini wameuliwa kikatili karibu na mpaka wa TZ na Rwanda, ni wakenya wangapi umeona wakisherehekea? Kweli baadhi yenu ni wajinga aisee.
 
Ndio zao hawa jamaa, wana matatizo kielimu, jamaa anatia aibu balaa.
Wewe una elimu gani mbulula wewe? Maskini wewe!! Mnakufa hovyo kwa njaa.
Kwikwikwikwi hovyo habisa. Mmeanza kuficha mikia yenu sasa.
Wewe mbumbumbu, hujui lolote zaidi ya chuki zenu za ukabila. Mnachinjana kama kuku huku mkipigwa na wake zenu.
Oya baada ya kukaa nairobi na kuwaona mlivyo maskini kwa ajili ya heshima ya kimitandao sitaweka picha nilizonazo.

Kama nchi yenu haina histori acheni kutafuta kiki kupitia TZ. Kenya ni nchi ya Shetani.
 
Wewe hebu fuatilia comment zangu. Nimewaeleza huku mnakomaa na information za Wikipedia ambazo mtu yeyote anaweza andika. Acheni upoyoyo.
Kama mnataka kujifunza tutawapa elimu kwanini tunaimba huo wimbo. Siyo kuleta kenjeri na vijembe wakati nchi yenu ipo uchi na kwa vijembe tunajua kweli. Tunajua wapi yeti zenu zilipo.
Leta hoja tujadili uelimishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…