Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Kutokana na clip na documdntary nilizopitia. Nimekuwa fifty fifty na kile ninachofundishwa darasan kwamba marekani ndo wa kwanza kupeleka mtu mwezini kwa kutumia apolo eleven.
Cha kushangaza katika documemtary moja kulkuwepo na msemaji mkuu wa nasa na alishindwa kupangua allegations zlizoelekezwa kwa nasa kwamba hamna mtu alietua ktk mwez hiyo 1968. Naomba maoni yenu wadau.
Cha kushangaza katika documemtary moja kulkuwepo na msemaji mkuu wa nasa na alishindwa kupangua allegations zlizoelekezwa kwa nasa kwamba hamna mtu alietua ktk mwez hiyo 1968. Naomba maoni yenu wadau.