SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Do yo know how trivial you sound? There is so much hate in you that you sound bogus. You do need psycological help though.Surprisingly, he himself became a victim of the disease and eventually succumbed to it.--- what a hilarious !!
Wana laana mbaya sana hawa jamaa....walitumwa na Lissu na Chadema... wao sasa wametelekezwa. Ukisikia matamshi yao ni kama? yaleyale aliyoyaleta liji Lisu kwenye mihadhara na mahojiano?Mnaleta hizi mada for likes na comments.
Do yo know how trivial you sound? There is so much hate in you that you sound bogus. You do need psycological help though.
Stop using a translator. Ukajishangae mwenyewe.
Curse will engulf and finally digest you.Anathema will devour you.
Inatumika masaburi kufikiri?Ujinga mtupu.
Magufuli atabaki kua RAIS BORA KUWAHI TOKEA HAPA NCHINI NA UKANDA MZIMA WA AFRIKA MASHARIKI, AFRIKA NA DUNIA KWA UJUMLA...
Kuwa mbali kwa Kuumiza watu?Hv mpaka leo hamjachoka Kumsema , yule mzee angeendelea kuwa Rais nadhani Tungekuwa mbali sana kuanzia kifikra , kiutendaji na kimaendeleo. He was a Man of actions not just petty and meanings words
Numbers 12:1Curse will engulf and finally digest you.
Upuuzi!He spread dismay, anger and created rifts amongst brothers and sisters of the same nation who differ in ideologies. There is a time when he barked out...
Comment bora ya wakati wote.Unakwepa Kodi miaka yote hiyo ,usishughulikiwe?...
Wazushi sana nyie! .." victim of the disease"...wakati alikuwa kavaa pacemaker moyoni ndokisabaishi na chanzo serikali ilitangaza!Surprisingly, he himself became a victim of the disease and eventually succumbed to it.--- what a hilarious !!
Nakazia mkuu.Hakuna Cha inosenti pipo Wala bibi yake...
Kwan wale Wazungu wa migodi kama Walikua kwenye haki na hawakuonewa, kwann Alikuja Boss wao mwenyewe, yaaan kstoka Kanada, kaja TZ kuyamaliza na JPM.
Kwamba JPM alikua anakurupuka?.
JPM ni Mwanasayansi, wanasayansi ni watu wenye Akili, nayeye alijaaliwa Uwezo mkubwa wa akili ,yaan Uwezo mkubwa wa akili, mfatiliaji, mdadisi, msomaji, asopendwa kudanganywa, mkweli kwelikweli, mzalendo ,muadilifu, anayepinga Rushwa Kwa nguvu zote.
Maneno tu hayatoshi kumuelezeaaa, Wacha Miradi yake ijieleze, Wacha Wananchi wajielezeee !!.