Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Mura hembu mwambie huyo Angel ani-pm nimpe heshima yake.
akikata gogo ......................hahahahahahaha....................?MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu Dida amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni huku nyingine akiwa maliwatoni.
Picha hizo zinapatikana kwenye mtandao wake na hakueleza ilikuwa wapi ila akasema
ilikuwa ni siku alipoamua kuitumia wikiendi yake ipasavyo katika hoteli ambayo hakuitaja jina.
Baadhi ya watu waliyoziona picha hizo walimponda wakidai eti ni ulimbukeni lakini wapo waliomtetea kwa kusema, ni staili tu ya maisha aliyoamua kuishi.
Ushamba tu, ndo nini sasa? Angetuwekea akikata gogo pia, alisema mmoja wa wadau huku mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Dick akisema: Msimuonee wivu mwenzenu,
anakula bata zake na nyie hamjakatazwa.
Dida alipoulizwa kuhusu kujianika hivyo alisema, hizo ni ishu zake binafsi na wapenzi wake wanapenda kuona kila anachokifanya, ndiyo maana anawawekea kwenye blogu yake
asante sana kwa baraka mkuu... nami naomba Mwenyezi Mungu anisaidie nifanikishe good life mapema..Excel ni mtoto saana, kumbe ni mtundu tuu. Ubarikiwe bado una safari ndefu ya maisha!!
hadi wewe??.. khaaa!!!
loh.. jamani mtaniua humu ndani! hahahaaa!! ngoja nianze kuota vindevu viniletee heshima!
hizi picha zina zaidi ya
mwaka,na hii habari ilishawahi kuwekwa humu.Naona umeamua kutukumbushia
zilipendwa
2006 ndo nimemaliza form 4, wakati wewe uko form 1. Sasa si inabidi unisalimie tena kwa magoti kabisa
Excel nataka shkamoo yangu..tena fidia na za nyuma na times 356 days to come in advance kbs!
hahahaaaa!!! yamekuwa hayo kaka?
hebu usije ukanibana!!
kwani mkuu umeniacha kama range ya ngapi hivi?
hahahahhahahahahaha, we mkali. So unapenda wakubwa siyo? Au ndo wewe maana nami nlikuwa na-date na kitoto cha form 1 nlikuwa namleaaaah, mwaka 2006 huo uko form 1 sawa mi niko nyoya, alkini tayari nilikuwa nina mbebez wa kidato hicho tena mrembo sana,,... imagine how dangerous Excel was...!
umenizidi kama 4 years hivi... age is just the number mamii!... lols.
hahahahaaaa!!! alinikimbia sababu ya ukubwa wa dushe...!hahahahhahahahahaha, we mkali. So unapenda wakubwa siyo? Au ndo wewe maana nami nlikuwa na-date na kitoto cha form 1 nlikuwa namlea
kiumri au kishule? Simwagi kuku kwny mchele Mwingi. .haha
Duh kumbe we mdogo hivyo?